sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Bado nampenda
Unapewa ushauri mzuri bado unaendelea kuleta utata,sasa kama vipi andamana.
Bado nampenda
nikwel wapo wanawake wasiopenda kuguswa hizo sehemu zao,...
<br /><b>kileleni wapi? Mt kilimanjaro au wapi? Mi sijaelewa</b>
halafu na wewe unaitikiaje???Hapana mkuu, huwa anasema kabisa, it is there, it is there, it is there, oh no, thankyu...bada ya hapo ananibeza.
Umeshaambiwa kuwa hutoshi...tafuta size yako...
anafanya hivo ili usimchoshe, wanaume wanapenda sana kusifiwa la sivo atakaa hapo juu mwaka mzima
huwa nasikia watu wakisemawe umejuaje?
Wewe unaonekana sasa umsanii......... unachezea akili za watu hapa JF.
Wakati mwingine uje na hoja zenye mashiko
Unapewa ushauri mzuri bado unaendelea kuleta utata,sasa kama vipi andamana.
Ana lake jambo huyo! Ila jaribu kuongea nae umueleze jinsi unavyoumizwa na comment zake mnaweza mka solve.
Jitume saa moja na nusu??? yaani mpira wa miguu unanza mpaka unaisha we unakita tu?
Huyo hana mapenzi na wewe maana ana hisia unajuwa tendo lile ni hisia
siyo kila kitu lazima muelewe vingine potezeeeni tuuu!Sijaelewa mkuu.
Hapa hamna mapenzi..coz ninavyoelewa mimi kuridhishana ni jukumu la kila mmoja wenu kuhakikisha anatimiza wajibu wake vizuri. Kwanini msikae kila mmoja akamweleza mwenzie na kuangalia jinsi gani mtaweza kuridhishana. Lakini inavyoonekana kama hamjaoana hapa inawezekana yeye hajaridhika kuwa na wewe katika maisha yake..na ukilazimisha vitu u will regret in all ur life...
siyo kila kitu lazima muelewe vingine potezeeeni tuuu!