anafanya hivo ili usimchoshe, wanaume wanapenda sana kusifiwa la sivo atakaa hapo juu mwaka mzimahapana mkuu, huwa anasema kabisa, it is there, it is there, it is there, oh no, thankyu...bada ya hapo ananibeza.
Wewewewewe unakibiowa mchana kweupe kimbia kabisa hapo
Kifupi ni kuwa hakutaki na tafuta pengine
Maana kama hataki kuguswa sehem maalumu na bado anakubeza kuwa hujui kitu waendelea kufanya nini kwake
chapa mwendo haraka
anafanya hivo ili usimchoshe, wanaume wanapenda sana kusifiwa la sivo atakaa hapo juu mwaka mzima
Acha uongo ww si ndo ulikuja na mbweche ya demu wako sijui kubwa,ukasema yy anafurahia na ukitaka kumwacha analia?kama nimekosea soory
kileleni wapi? Mt kilimanjaro au wapi? Mi sijaelewa
kama hujui kitu?lkn nikikaa mda mref si ndo vzr.
Mhhhh hakuna kitu hapo
kileleni wapi? Mt kilimanjaro au wapi? Mi sijaelewa
kama hujui kitu?
kwa hiyo nifanyeje?
Mkuu mi sio mbishi ila yeye ndo mbishi, manake nimejaribu kumsoma maeneo yake muhimu, lakini ukiyagusa hayo tu basi anakutia ngumi na inakuwa purukushani yani hadi balaa, hataki kabisa nimguse maeneo hayo, yani hana ushirikiano kabisa.
Wewewewewe unakibiowa mchana kweupe kimbia kabisa hapo
Kifupi ni kuwa hakutaki na tafuta pengine
Maana kama hataki kuguswa sehem maalumu na bado anakubeza kuwa hujui kitu waendelea kufanya nini kwake
chapa mwendo haraka
Hautakiwi kugusa mangi, tomasaa!!!!!
duh, hii sasa ni adult education!<b>kileleni wapi? Mt kilimanjaro au wapi? Mi sijaelewa</b>
nikwel wapo wanawake wasiopenda kuguswa hizo sehemu zao,...
Unaibiwa wacha kung'ang'ania kitu ambacho hakikufai
tafuta wa size yako na anayeendana na wewe kwa kila kitu usitafute umaarufu wa kukaa juu yake one hour and a half wakati huna unachokifanya na unamwachia shombo lako tuu
Acha uongo ww si ndo ulikuja na mbweche ya demu wako sijui kubwa,ukasema yy anafurahia na ukitaka kumwacha analia?kama nimekosea soory