We bwana mdogo umemaliza homework kweli na kwanini uko macho saa hizi na kesho ni shule ? just kidding ok ? kujibu swali lako hii ipo kwenye mila za watu wengi na mara nyingi ni kwa kuwa inahisiwa mama mdogo atawatunza watoto wa dada yake vizuri kuliko akiletwa mama wa kambo wa kutoka nje.
Inaruhusiwa hakuna ubaya si kifo kimewatenganisha!!! nimeowahi ona hiyo sehemu, lakini hyo kaka nae haoni huyo shemejie kama mwanae jmni!
Ha,haa, ivuga, nina homuweki ya biology. nacopy baadhi ya notice hapa kwenye jukwaa lenu.
Amuowe tu hata mama ya mke wake akitaka amuowe kwani kuna sheria inakataza?
Ikiwa mapadiri wamekatazwa kuoa na wanajidaai wameoa (Slaa) na wanachukuwa wapili (mke wa mtu) sasa huyo anaetaka kuoa ndugu ya dada ke anangoja nini? anataka mashahidi? aowe hata mama wa mkewe mimi ntakuwa shahidi.
naomba mawazo, kuna ndugu kafiwa na mke wake, na mdogo wa mke wake amekuwepo hapo toka akiwa mdogo. Sasa baada ya kufikilia ameamua amwoa huyo mdogo wake ili familia isiyumbe, wala watoto kunyanyasika.
Je hili limekaaje.
Umeolewa????? au unavizia Mume wa dada yako:frog::smile-big:
Hata mwanae aowe tu, kwani kuna sehemu inakataza katika bibilia? mbona wale walimbaka baba yao wakati kalala?
Mdogo wake wa Malaria Sugu achana naye anataka kutuondoa kwenye mjadalaNaona upo katika zile bidii zako za kuhamisha hoja iwe ya kidini zaidi, tumeshalitambua hilo. Ni vema watu wakupuuze.