raja wa raha
New Member
- Jan 28, 2012
- 2
- 0
Nilipo maliza kidato cha sita nilienda kuishi katika kijiji cha usangi,ambacho kipo wilayani mwanga mkoa wa kilimanjaro,nilikutan na mwanadada mmoja aliyeitwa neema.Ambaye nilifanikiwa kuanzisha nae uhusiano.kwa bahati mbay au nzuri hatukuweza kudumu kwa muda mrefu,sabbu aliondoka kwa ghafla bila kuniaga na kubadilisha namba ya simu.bila kujua hili wala lile nikaamua kuachana na habari za kumtafute tena.zaidi niliambiwa kua yuko anaishi jijini dar es salam.Baada ya miezi kumi na mbili kupita nikiwa nimefanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha sokoine,nilipokea simu ikwa na namba mpya,Alinifahamisha kua yy ni Neema,nilikua na furahi coz it was a long tym htujaonana wala kuwasiliana mm na yy,katika kupiga story mbili tatu akanieleza kua amejifungua mtoto wa kike na niwa kwangu kwa hiyo nimpe jina la kumuita mtoto.nikamuuliza inakuaje siku zote hizo awe na mimba yangu na asinieleze chochote,Akanijibu mi cha huhimu nimpe jina na nisubiri mtoto akiwa mkubwa ataniletea mtoto wangu so nisiwe na shida.
Akanieleza viungo vyote nilivo fanana na mtoto ,kwamba aliamua kuondoka usangi kwa sababu alilazimishwa na wazazi wake.na yy mwenyewe hakutaka kuniambia kwa kua alijua nitamkataa mtoto.maisha yaliendelea kwenda huku 2kiwa tunawasiliana mara moja moja ,likizo ilipofika nilikua field arusha ananijulisha kua yuko Usangi ,nikapanda gari na kwenda ili nimuone mwanangu,kufika namtafuta akaniambia amesha ondoka.katika kuuliza ndugu zake wakaniambia kua Neema hana mtoto.Nikabaki nikiwa nimechanganyikiwa na sielewi wa kumuamini.ilipo fika likizo nyingine ambayo ilikua december kufuatia januari 2012,nilifunga safari mpa Dar na kufika mpaka uwanja wa ndege alipokua anakaa,alinikaribisha kwake na akaniambiie kabla hajanionyesha mtoto anataka anieleze jinsi alivo mlea mtoto.''akanimbia wakati akiwa na ujauzito wa miezi nane alikutana na Mphilipine ambaye alimtongoza akiwa katika kipindi hicho,akamsaidia kulea mimba na mtoto alipo zaliwa pia akawa anamlea.kwa sababu alikosa msaada wowote kutoka nyumbani kwa kua alikua ametoroka nyumbani ikabidi akubali yote yale atakayo ambiwa na Mphilipine.huyu kaka wa kigeni akataka akamchumbie huyu binti na kwenda kumtolea mahari,wazazi wake wakakubali ijapokua hawajui mtoto ni wa nani,lakini walimkataza mtoto asije akamjua baba yake.yule kaka aliweza kutoa mahari ya shilingi milioni moja(1,000,000,000)''mwisho wa siku aligoma kunionyesha mtoto na akanipa picha ya mtoto na ni kweli 2mefanana naye.akasema anahofu kua huenda nikamnyang'anya mtoto kama nitamwona.ikanibidi niondoke bila kuwa na mafnikio.baada ya wiki 3 kupita alinipigia simu na kuniambia kua yule mfilipine amepata likizo ya mwezi mmoja na anataka aondoke na mtoto aende nae huko kwao,ikiwa yeey ndo kamlea mtoto je nilkweli atamrudisha? ,na asipo mrudisha inamana ndo nitapoteza damu yangu hivo ikakulie ughaibuni.?naombeni mnisaidie mawazo akili yangu sasa imesimama
ahsanteni
raja wa raha
Akanieleza viungo vyote nilivo fanana na mtoto ,kwamba aliamua kuondoka usangi kwa sababu alilazimishwa na wazazi wake.na yy mwenyewe hakutaka kuniambia kwa kua alijua nitamkataa mtoto.maisha yaliendelea kwenda huku 2kiwa tunawasiliana mara moja moja ,likizo ilipofika nilikua field arusha ananijulisha kua yuko Usangi ,nikapanda gari na kwenda ili nimuone mwanangu,kufika namtafuta akaniambia amesha ondoka.katika kuuliza ndugu zake wakaniambia kua Neema hana mtoto.Nikabaki nikiwa nimechanganyikiwa na sielewi wa kumuamini.ilipo fika likizo nyingine ambayo ilikua december kufuatia januari 2012,nilifunga safari mpa Dar na kufika mpaka uwanja wa ndege alipokua anakaa,alinikaribisha kwake na akaniambiie kabla hajanionyesha mtoto anataka anieleze jinsi alivo mlea mtoto.''akanimbia wakati akiwa na ujauzito wa miezi nane alikutana na Mphilipine ambaye alimtongoza akiwa katika kipindi hicho,akamsaidia kulea mimba na mtoto alipo zaliwa pia akawa anamlea.kwa sababu alikosa msaada wowote kutoka nyumbani kwa kua alikua ametoroka nyumbani ikabidi akubali yote yale atakayo ambiwa na Mphilipine.huyu kaka wa kigeni akataka akamchumbie huyu binti na kwenda kumtolea mahari,wazazi wake wakakubali ijapokua hawajui mtoto ni wa nani,lakini walimkataza mtoto asije akamjua baba yake.yule kaka aliweza kutoa mahari ya shilingi milioni moja(1,000,000,000)''mwisho wa siku aligoma kunionyesha mtoto na akanipa picha ya mtoto na ni kweli 2mefanana naye.akasema anahofu kua huenda nikamnyang'anya mtoto kama nitamwona.ikanibidi niondoke bila kuwa na mafnikio.baada ya wiki 3 kupita alinipigia simu na kuniambia kua yule mfilipine amepata likizo ya mwezi mmoja na anataka aondoke na mtoto aende nae huko kwao,ikiwa yeey ndo kamlea mtoto je nilkweli atamrudisha? ,na asipo mrudisha inamana ndo nitapoteza damu yangu hivo ikakulie ughaibuni.?naombeni mnisaidie mawazo akili yangu sasa imesimama
ahsanteni
raja wa raha