Anatafutwa na polisi!!

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Mtu mmoja anatafutwa na ghesi la bholis yeyote atakae muona atapata zawadi ya kunusa kikwapa cha mlevi wa mnazi au komoni na kifungo cha miaka 800 jela.huyu mtu ni mlefu kama nguzo za umeme,anamacho makubwa kama ngumi ya mwizi,ana wake 50 na watoto 200 familia yake inakula gunia 20 kwa siku.mtu huyo anapenda kutembelea poli lenye wanyama wakali na sehem za mochwali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom