Anatafutwa na polisi

Status
Not open for further replies.

Kwetunikwetu

JF-Expert Member
Dec 23, 2007
1,535
408
Waungwana naomba mtusaidie kidogo kupambana na wizi!! Ndg. SALIM SHABAN LOSSINDILO mkazi wa Kiwalani Dar es Salaam anatafutwa na Polisi kwa kosa la wizi wa kuaminika wa kiasi cha tsh. 5,000,000/-

Jina kamili: SALIM SHABAN LOSSINDILO
aka: Zungu, Baba Warda, Samuel
Kosa linalomkabili: Mnamo tarehe 15 October 2008 alijipatia kwa njia za undanganyifu kiasi cha tsh. 5,000,000/- kama malipo ya awali kwa ajili ya gari aina ya Toyota Corona Premio, eneo la Kisutu mjini Dar es Salaam
Wajihi: Mrefu, mweupe, mnene kiasi
Kabila: Mpare
Umri: mtu wa makamo (39 yrs-45yrs)
Makazi: Mkazi wa Kigilagila (mke mkubwa) na Kiluvya (mke mdogo)
Kazi: Anajishughulisha na kazi za clearing and forwarding haswa udalali wa magari. Hupendelea kushinda maeneo ya Kisutu karibu na Zanzibar hotel
Kwingineko: Hujishulisha pia na kazi hizo Arusha (ana mdogo wake wanafanya wote shughuli hizo anaitwa Ali Chicago), Namanga, Horiri na Horohoro.



RB: CD/RB/1173/09
Case no: CD/IR/376/09
Tafadhali umuonapo mtu huyo au kupata taarifa zake tusaidie kutoa taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu nawe au piga simu namba 0754 998029

Tutashukuru kwa msaada mtakaotupatia waungwana!

Once tukipata picha yake tutaiweka hapa ili iwe rahisi kwa asiyemfahamu kwa jina aweze kumtambua
 
Last edited:
Duh
Hayo malipo aliyopewa hayakufanyika ofisini? hakuna mkataba kati ya mnunuaji na muuzaji?
lete picha tumsake huyu bazazi...
 
Makazi: Mkazi wa Kigilagila (mke mkubwa) na Kiluvya (mke mdogo)
Kazi: Anajishughulisha na kazi za clearing and forwarding haswa udalali wa magari. Hupendelea kushinda maeneo ya Kisutu karibu na Zanzibar hotel
Simply fanyeni hivi:

1. Kamata wake zake wote na wahoji watasaidia kujua mme wao alipo... Polisi wanajua nini cha kufanya katika hili

2. Kama ana kampuni ya Clearing and Forwarding si rahisi kwenu? Nenda kwenye ofisi yake, chukueni mali zilizopo kwenye ofisi yake (au ni dalali wa forwarding? Manake kama ni hivyo basi hili ni tatizo, haiwezekani kununua gari pitia kwa dalali asiye na ofisi kwani anytime anaweza kufanya lolote na kumpata inakuwa tabu!)
 
Simply fanyeni hivi:

1. Kamata wake zake wote na wahoji watasaidia kujua mme wao alipo... Polisi wanajua nini cha kufanya katika hili

Huu ni uvunjifu wa haki za binadamu. Wanaweza wasijue aliko hata wao.
 
Kuna yard moja ya magari ipo Chole road alikuwa akifanya kazi hapo, hajaonekana hapo tangu november 2008
 
Huu ni uvunjifu wa haki za binadamu. Wanaweza wasijue aliko hata wao.
Hakuna anayejua siri ya mtu isipokuwa mwandani wake (mke au mme). Hii kuwahoji si kuwaweka ndani bali kuutafuta ukweli wa mambo.

Sema tatizo bado lipo kwa polisi wetu, kuhoji wao hukuchukulia ni kutesa! Vinginevyo, wakitumia psychological means wanaweza kuupata ukweli wa alipo jamaa kwa kutumia wake zake!
 
Bado tupo pamoja jamani mtusaidie kumpata Salim. Alishawahi kupiga 20,000,000/-kwa jamaa mmoja anafanya kazi TRA adjacent na Central Police, then akapiga jamaa mwingine 9,000,000/- anafanya kazi airport dsm. Hizi zote alishalipa baada ya kukamatwa na kuwekwa ndani pale central. Sasa ndio anatafutwa kwa hizi 5,000,000/-, mtusaidie
 
Waungwana naomba mtusaidie kidogo kupambana na wizi!! Ndg. SALIM SHABAN LOSSINDILO mkazi wa Kiwalani Dar es Salaam anatafutwa na Polisi kwa kosa la wizi wa kuaminika wa kiasi cha tsh. 5,000,000/-

Jina kamili: SALIM SHABAN LOSSINDILO
aka: Zungu, Baba Warda, Samuel
Kosa linalomkabili: Mnamo tarehe 15 October 2008 alijipatia kwa njia za undanganyifu kiasi cha tsh. 5,000,000/- kama malipo ya awali kwa ajili ya gari aina ya Toyota Corona Premio, eneo la Kisutu mjini Dar es Salaam
Wajihi: Mrefu, mweupe, mnene kiasi
Kabila: Mpare
Umri: mtu wa makamo (39 yrs-45yrs)
Makazi: Mkazi wa Kigilagila (mke mkubwa) na Kiluvya (mke mdogo)
Kazi: Anajishughulisha na kazi za clearing and forwarding haswa udalali wa magari. Hupendelea kushinda maeneo ya Kisutu karibu na Zanzibar hotel
Kwingineko: Hujishulisha pia na kazi hizo Arusha (ana mdogo wake wanafanya wote shughuli hizo anaitwa Ali Chicago), Namanga, Horiri na Horohoro.



RB: CD/RB/1173/09
Case no: CD/IR/376/09
Tafadhali umuonapo mtu huyo au kupata taarifa zake tusaidie kutoa taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu nawe au piga simu namba 0754 998029

Tutashukuru kwa msaada mtakaotupatia waungwana!

Once tukipata picha yake tutaiweka hapa ili iwe rahisi kwa asiyemfahamu kwa jina aweze kumtambua

Pole sana. Unaweza pia kutumia magazeti katika kumsaka huyo jamaa. Anafikiri kuiba 5,000,000/- kutamsaidia kitu wakati anaishi kwa kujificha? Ila ukimpata either mshitaki kwa kosa la madai na jinai au la madai tu ili urudishiwe hizo hela na gharama zingine za usumbufu.

Ikiwezekana ana kutunza risti za hizo gharama ili kama utamstaki kwa kosa la madai umshitaki kama 'specific damages' na siyo 'general damages'.
 
Pole sana. Unaweza pia kutumia magazeti katika kumsaka huyo jamaa. Anafikiri kuiba 5,000,000/- kutamsaidia kitu wakati anaishi kwa kujificha? Ila ukimpata either mshitaki kwa kosa la madai na jinai au la madai tu ili urudishiwe hizo hela na gharama zingine za usumbufu.

Ikiwezekana ana kutunza risti za hizo gharama ili kama utamstaki kwa kosa la madai umshitaki kama 'specific damages' na siyo 'general damages'.

Thanks kwa ushauri, utafanyiwa kazi
 
Bado tupo pamoja jamani mtusaidie kumpata Salim. Alishawahi kupiga 20,000,000/-kwa jamaa mmoja anafanya kazi TRA adjacent na Central Police, then akapiga jamaa mwingine 9,000,000/- anafanya kazi airport dsm. Hizi zote alishalipa baada ya kukamatwa na kuwekwa ndani pale central. Sasa ndio anatafutwa kwa hizi 5,000,000/-, mtusaidie

Duu kumbe ni mzoefu namna hiyo? Poleni sana, ila mtampata kama wengine wanavo mpata, na pengine tumieni uzoefu wa hao wengine walimpataje?
 
Bado tupo pamoja jamani mtusaidie kumpata Salim. Alishawahi kupiga 20,000,000/-kwa jamaa mmoja anafanya kazi TRA adjacent na Central Police, then akapiga jamaa mwingine 9,000,000/- anafanya kazi airport dsm. Hizi zote alishalipa baada ya kukamatwa na kuwekwa ndani pale central. Sasa ndio anatafutwa kwa hizi 5,000,000/-, mtusaidie

Alitumia hizo pesa kupanda mbegu DECI alipovuna akarudisha pesa ya wenyewe just thinkin kwikwiwkwi!
 
Wandugu wapendwa,
Ningependa kutoa feedback kuwa Salim amekamatwa jana majira ya saa 4 usiku na kupelekwa Central police mida kama ya saa 6 hivi usiku huo huo. Tunashukuru kwa wote waliochangia mawazo ambayo mengine tulitumia ipasavyo.

Thanks.......!
 
kwetunikwetu,hongera sana ndugu yangu kwa kazi kubwa uliyo ifanya kuanikisha huyu jamaaa kukamatwa.na imani sheria itachukua mkondo wake.
 
Waungwana naomba mtusaidie kidogo kupambana na wizi!! Ndg. SALIM SHABAN LOSSINDILO mkazi wa Kiwalani Dar es Salaam anatafutwa na Polisi kwa kosa la wizi wa kuaminika wa kiasi cha tsh. 5,000,000/-

Jina kamili: SALIM SHABAN LOSSINDILO
aka: Zungu, Baba Warda, Samuel
Kosa linalomkabili: Mnamo tarehe 15 October 2008 alijipatia kwa njia za undanganyifu kiasi cha tsh. 5,000,000/- kama malipo ya awali kwa ajili ya gari aina ya Toyota Corona Premio, eneo la Kisutu mjini Dar es Salaam
Wajihi: Mrefu, mweupe, mnene kiasi
Kabila: Mpare
Umri: mtu wa makamo (39 yrs-45yrs)
Makazi: Mkazi wa Kigilagila (mke mkubwa) na Kiluvya (mke mdogo)
Kazi: Anajishughulisha na kazi za clearing and forwarding haswa udalali wa magari. Hupendelea kushinda maeneo ya Kisutu karibu na Zanzibar hotel
Kwingineko: Hujishulisha pia na kazi hizo Arusha (ana mdogo wake wanafanya wote shughuli hizo anaitwa Ali Chicago), Namanga, Horiri na Horohoro.



RB: CD/RB/1173/09
Case no: CD/IR/376/09
Tafadhali umuonapo mtu huyo au kupata taarifa zake tusaidie kutoa taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu nawe au piga simu namba 0754 998029

Tutashukuru kwa msaada mtakaotupatia waungwana!

Once tukipata picha yake tutaiweka hapa ili iwe rahisi kwa asiyemfahamu kwa jina aweze kumtambua

Je huyu Ali Chicago ni yule muuza magari ana yard pale round about ya hapa nyumba zilikuwa za reli (barabara ya kuelekea Kilwa na hii ya Kamata kuelekea Kariakoo?? Nafahamu nyumbani kwa Chikago, huyu mwenye yard ila sijui kama ndiye Ali Chikago.
 
Je huyu Ali Chicago ni yule muuza magari ana yard pale round about ya hapa nyumba zilikuwa za reli (barabara ya kuelekea Kilwa na hii ya Kamata kuelekea Kariakoo?? Nafahamu nyumbani kwa Chikago, huyu mwenye yard ila sijui kama ndiye Ali Chikago.

No sio huwa huyo. Huyu Ali Chicago anafanya biashara zake Arusha na Namanga. Pia Ali Chicago ni small scale dealer ie gari moja au mawili at a time. Hana yard kabisa.

Nadhani nimeeleweka mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom