Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 408
Waungwana naomba mtusaidie kidogo kupambana na wizi!! Ndg. SALIM SHABAN LOSSINDILO mkazi wa Kiwalani Dar es Salaam anatafutwa na Polisi kwa kosa la wizi wa kuaminika wa kiasi cha tsh. 5,000,000/-
Jina kamili: SALIM SHABAN LOSSINDILO
aka: Zungu, Baba Warda, Samuel
Kosa linalomkabili: Mnamo tarehe 15 October 2008 alijipatia kwa njia za undanganyifu kiasi cha tsh. 5,000,000/- kama malipo ya awali kwa ajili ya gari aina ya Toyota Corona Premio, eneo la Kisutu mjini Dar es Salaam
Wajihi: Mrefu, mweupe, mnene kiasi
Kabila: Mpare
Umri: mtu wa makamo (39 yrs-45yrs)
Makazi: Mkazi wa Kigilagila (mke mkubwa) na Kiluvya (mke mdogo)
Kazi: Anajishughulisha na kazi za clearing and forwarding haswa udalali wa magari. Hupendelea kushinda maeneo ya Kisutu karibu na Zanzibar hotel
Kwingineko: Hujishulisha pia na kazi hizo Arusha (ana mdogo wake wanafanya wote shughuli hizo anaitwa Ali Chicago), Namanga, Horiri na Horohoro.
RB: CD/RB/1173/09
Case no: CD/IR/376/09
Tafadhali umuonapo mtu huyo au kupata taarifa zake tusaidie kutoa taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu nawe au piga simu namba 0754 998029
Tutashukuru kwa msaada mtakaotupatia waungwana!
Once tukipata picha yake tutaiweka hapa ili iwe rahisi kwa asiyemfahamu kwa jina aweze kumtambua
Jina kamili: SALIM SHABAN LOSSINDILO
aka: Zungu, Baba Warda, Samuel
Kosa linalomkabili: Mnamo tarehe 15 October 2008 alijipatia kwa njia za undanganyifu kiasi cha tsh. 5,000,000/- kama malipo ya awali kwa ajili ya gari aina ya Toyota Corona Premio, eneo la Kisutu mjini Dar es Salaam
Wajihi: Mrefu, mweupe, mnene kiasi
Kabila: Mpare
Umri: mtu wa makamo (39 yrs-45yrs)
Makazi: Mkazi wa Kigilagila (mke mkubwa) na Kiluvya (mke mdogo)
Kazi: Anajishughulisha na kazi za clearing and forwarding haswa udalali wa magari. Hupendelea kushinda maeneo ya Kisutu karibu na Zanzibar hotel
Kwingineko: Hujishulisha pia na kazi hizo Arusha (ana mdogo wake wanafanya wote shughuli hizo anaitwa Ali Chicago), Namanga, Horiri na Horohoro.
RB: CD/RB/1173/09
Case no: CD/IR/376/09
Tafadhali umuonapo mtu huyo au kupata taarifa zake tusaidie kutoa taarifa kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu nawe au piga simu namba 0754 998029
Tutashukuru kwa msaada mtakaotupatia waungwana!
Once tukipata picha yake tutaiweka hapa ili iwe rahisi kwa asiyemfahamu kwa jina aweze kumtambua
Last edited: