Aje mwenyewe tumuone kwanza
Kuna kaka anatafuta mchumba wa kike jaman umri kuanzia 30-35 umri wake ni miaka 45 naiman kuubwa humu jf atapata. Hakuna utani hapa namba yake. 0753655444.
Haya mambo ya "cameron" yanaanza taratibu kubadili hata namna ya kuwasiliana...Lolz:lol:.Hapa penye red, nimefurahishwa na jinsi ulivyokuwa specific kwenye maelezo, Kaka anatafuta mchumba wa kike, ana hofu nini ya kupata mchumba wa kiume??!