Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
mkuu nipo sawasawa wala sijakosea check chini kuna watu nimewa tag ambao walielewa bandiko langu la mwanzo ....huyo mbwa akifanikiwa kuzaa watoto wake nitawauza bei mzuri sana ....We mweu
Huyu si bado ananyonya jamani?? Ameanzaje mambo ya wakubwa?
Huyu si bado ananyonya jamani?? Ameanzaje mambo ya wakubwa?
mkuu nipo sawasawa wala sijakosea check chini kuna watu nimewa tag ambao walielewa bandiko langu la mwanzo ....huyo mbwa akifanikiwa kuzaa watoto wake nitawauza bei mzuri sana ....
Can German Shepherd do it? Nna GS dume kubwa...halijapaona long time now, seriously...not joking, and I feel sorry for my dog not having some fun for such a long time!
But...awe amepata chanjo zake zote (uthibitisho wa cheti), nitakuonyesha vyeti vya mbwa wangu pia!
Mkuu mbwa yoyote anaweza akamuingia huyo.. au mbwa ya jamii yake tu
mtafutie utamu lasivyo atakuwa zezeta huyo.mi nilikuwa nae muda kidogo umepita sema alikufa wakat nipo masomon akupata matunzo mazuri.alikuwa anapga kelele akiwa na hamu ya kudu kwa kulia badala ya kubweka.mtafutie jike then liasiNna GS dume kubwa...halijapaona long time now, seriously...not joking, and I feel sorry for my dog not having some fun for such a long time!
naah siwez kuruhusu hakutane na huyo german shepherd.huyu mbwa kimo chake ni kama cha paka mkubwa sema ametanuka kidogo.inabdi apate mbwa jamii yake .