Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Ni msichana (from Ethiopia), yupo DSM kikazi na amepanga nyumba maeneo ya Kariakoo, mtaa wa Narung'ombe. Ina 2 bedrooms, kitchen, sitting room, toilet na bafu na sitting room. Anatafta met ambaye watashare costs. Kwa sasa nyumba haina furnitures ila zitanunuliwa ila kama met atakuwa nazo anaweza kuzileta. For more details ni PM