n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Heshima zenu Wakuu,
Taarifa kwa kifupi kuwa bwana mmoja kwa jina la Chacha (sijabahatika kupata jina la pili) ambaye ni mmiliki wa nyumba ya kulala wageni iitwayo 'Bongo Star' iliyopo maeneo ya Kawe jijini Dar kakamatwa na alihojiwa hii leo Polisi - Kawe.
Jitihada za kupata habari hizi toka Polisi zilikaribia kukwama kwani ilionekana kama kuna kitu kilikuwa kinafichwa lakini baadae wakakiri kuwa wamemkamata na amefunguliwa mashtaka.
Updates zitafuata kadiri tunavofuatilia kinachojiri.
Taarifa kwa kifupi kuwa bwana mmoja kwa jina la Chacha (sijabahatika kupata jina la pili) ambaye ni mmiliki wa nyumba ya kulala wageni iitwayo 'Bongo Star' iliyopo maeneo ya Kawe jijini Dar kakamatwa na alihojiwa hii leo Polisi - Kawe.
Jitihada za kupata habari hizi toka Polisi zilikaribia kukwama kwani ilionekana kama kuna kitu kilikuwa kinafichwa lakini baadae wakakiri kuwa wamemkamata na amefunguliwa mashtaka.
Updates zitafuata kadiri tunavofuatilia kinachojiri.