Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 36,508
- 76,477
hapa dr shein rais wa zanzibar akiapa mbele ya jaji mkuu..kuingia kwenye baraza la mawaziri katika serikali ya Tanzania bara
Napenda kufahamu:..1.anaapa sawa ila atasimamia katiba ipi ya kule zanzibar au ya huku kwetu
2.anaingia kwenye baraza la mawaziri bara kama msikilizaji au waziri wa nini?
ni hayo tu ..kama kuna mengine tufahamishane
nawasilisha
Napenda kufahamu:..1.anaapa sawa ila atasimamia katiba ipi ya kule zanzibar au ya huku kwetu
2.anaingia kwenye baraza la mawaziri bara kama msikilizaji au waziri wa nini?
ni hayo tu ..kama kuna mengine tufahamishane
nawasilisha