Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
hivi hata Fixed Point kuna anayeweza kufurukuta kwako na hata kuthubutu kukusumbua......................bila ya kusumbulia kizazi kijacho kitatoka wapi?
Rutashubanyuma kunisumbua siyo lazima anifanye nalia kila mara, hata kukosa usingizi kwa kuyawazia mazuri anayonifanyia ni kunisumbua......................
kizazi kijacho Mungu angefanya utaratibu mwingine wa kuongeza watu duniani.
Last edited by a moderator: