gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
SnowBall ndivyo wanaume mlivyo aisee. miye huwa siwez kufanya kosa hili kwa mume wangu manake najua atakasirika. ngoja nikuchekeshe miye nina watoto 4 wote wakaka na wananipenda sana kila mara huwa wananikumbatia mama tunakupenda and they call me kila mmoja kwa jina lake like kama anaitwa clein basi ataniita mama clein umeona. sasa hapa napata upinzani sana kwa mr mnake wakinikumbatia na kunibusu utamsikia hebu njoo mara moja ukienda hakuna cha maana kumbe ni wivu tu anawaonea hata wanae.Kuna mshkaji wangu alikuja kwangu analalamika kuwa mkewe anamsifia sana John Mnyika..
ofcoz nilishangaa..but the guy was serious..
hata nilipomuambia kuwa Mnyika was a public figure..the guy still wasn't happy!
and you can feel it pale anapokwambia mbona wanakukumbatia sana kuliko mimi ama anasema ningekuwa na kadada kangekuwa na mimi kananikumbatia. ukiona hivyo inabidi nitumie busara ya kumsogeza kwangau zaid huyu baba kuliko watoto ni ngumu sana kubalancce.
Last edited by a moderator: