The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Me naamini usafi hapo hauzingatiwi, na la matumizi ya TP, ni makubwa hapo, watu wanasahau maji ndo suluhisho la usafi, pia huyo jamaa kashaathirika kisaikolojia hivyo hata huyo mama akiwa msafi kiasi gani jamaa bado hizo harufu atazisikia tuu.
Cha msingi wapeane likizo kwa muda, I mean mmoja asafiri kwa muda kamamapunziko ili atakaporudi iwe katika kumissiana wawe kama ndo wanaanza moja.
Tiba pia itumike vizuri
Cha msingi wapeane likizo kwa muda, I mean mmoja asafiri kwa muda kamamapunziko ili atakaporudi iwe katika kumissiana wawe kama ndo wanaanza moja.
Tiba pia itumike vizuri