Dogo1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,361
- 576
Rafiki yangu alienda nje kusoma akabahatika kupata rafiki wa kike ambae walishirikiana katika nyanja zote za mapenzi. Baada ya kumaliza masomo rafiki yangu akarudi TZ peke yake. TZ akapata rafiki mpya wa kike ambaye kila mmoja hakumficha mwenzake juu ya maisha aliyopitia.
Bahati huyu msichana kabla ya kukutana na rafiki yangu alikuwa bado hajawahi kufanya tendo la ndoa, so alianza na huyu rafiki yangu. Hatimaye rafiki yangu alitangaza uchumba kwa rafiki yake na wakakubaliana kufunga ndoa.
Baada ya kutoa mahari na wanasubiri kufunga ndoa, mchumba wa rafiki yangu akapata mwanaume ambaye alikua anashirikiana nae katika mapenzi including ngono, takriban kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita. Lengo la kufanya hivyo ni kulipa yale ambayo mchumba wake aliyafanya kabla hawajafahamiana wakati akiwa masomoni.
Rafiki yangu hakugundua kuwa mchumba wake anamahusiano na jamaa mwingine. Mda ukafika wakafunga ndoa. Mke wa rafiki yangu akaachana ya yule jamaa mwingine.
Hata hivyo rafiki yangu sometimes alikua anafanya ngono na wanawake ingawa ni kwa mtindo wa "hit n run". Ni hadithi ndefu. Lakini ktk hali ya ajabu rafiki yangu na mke wake kila mmoja aliconfess kwa mwenzake matendo aliyoyafanya kabla na baada ya ndoa.
Ni mwaka mmoja sasa maelewano yamekuwa yanalegalega, haipita wiki moja lazima watalumbana for hours kila mmoja akimlaumu na kumlaani mwenzake kwamba hakuwa mwaminifu.
Ushauri wenu unahitajika kuinusuru ndoa hii
Bahati huyu msichana kabla ya kukutana na rafiki yangu alikuwa bado hajawahi kufanya tendo la ndoa, so alianza na huyu rafiki yangu. Hatimaye rafiki yangu alitangaza uchumba kwa rafiki yake na wakakubaliana kufunga ndoa.
Baada ya kutoa mahari na wanasubiri kufunga ndoa, mchumba wa rafiki yangu akapata mwanaume ambaye alikua anashirikiana nae katika mapenzi including ngono, takriban kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita. Lengo la kufanya hivyo ni kulipa yale ambayo mchumba wake aliyafanya kabla hawajafahamiana wakati akiwa masomoni.
Rafiki yangu hakugundua kuwa mchumba wake anamahusiano na jamaa mwingine. Mda ukafika wakafunga ndoa. Mke wa rafiki yangu akaachana ya yule jamaa mwingine.
Hata hivyo rafiki yangu sometimes alikua anafanya ngono na wanawake ingawa ni kwa mtindo wa "hit n run". Ni hadithi ndefu. Lakini ktk hali ya ajabu rafiki yangu na mke wake kila mmoja aliconfess kwa mwenzake matendo aliyoyafanya kabla na baada ya ndoa.
Ni mwaka mmoja sasa maelewano yamekuwa yanalegalega, haipita wiki moja lazima watalumbana for hours kila mmoja akimlaumu na kumlaani mwenzake kwamba hakuwa mwaminifu.
Ushauri wenu unahitajika kuinusuru ndoa hii