3squere
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 925
- 181
Nna rafiki wa kike lakini cha kushangaza nikimwambia kitu lasima akifanyie marekebisho kwanza watu na ataki marafiki zake wajuwe kuna sku nimesafiri kwenda mbeya alilia sana na sasa nimerudi dar lakin nikimwambia nmtoe out mara1 kasema anaumwa leo asubui nikamwambia tutoke kaniambia ANASIKIA UVIVU wa kutoka leo. Nimwache au