Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
hata love haliko fair,wengne wanapendwa,wengne ha2pendwi!oisio love ni lyf haiko fair
hata love haliko fair,wengne wanapendwa,wengne ha2pendwi!oisio love ni lyf haiko fair
keshazoea kupewa vocha unadhani ataweza kuuchuna tna? Inshort atamuumiza 2.Hii imekaa vizuri kama wee ni kauzu
kumbuka alimwambia kuwa anamgenda sana, sasa from no where atamwambieje hayupo moyoni mwake? Ameyavulia maji nguo hana budi kuyaoga.Ulifanya makosa kumwambia kuwa unampenda mno, wakati ukweli ni kwamba hayupo kabisa kichwani mwako! Swali la kizushi: Kama lengo lako ilikuwa ni kupita tu, kwa nini hukumwambia kuwa unataka mahusianoya muda? Kama hukuwa unampenda, kwa nini hukufikiria kutafuta binti ambaye unahisi unampenda japo kidogo tu ili hata ikitokea akapata mimba usijilaumu? Anyway, hayo tuyaache. Unachotakiwa kufanya kwa sasa, tafuta lugha laini ya kumweleza ukweli na atakuelewa. Mwambie kuwa nawe unatamani ku-feel kama yeye juu yako, lakini umeshindwa licha ya kujaribu kwa juhudi zako zote. Mpe pole na umwambie kuwa haitawezekana kuwa naye kwa kuwa utakuwa unampotezea muda bure. Hope that'll work!
Ninampenzi wangu ambae tunakalibia miaka 2 ya mahusiano yetu,wakati ninamtongoza nilikua nataka awe dem wa kupiga na kusepa,lakin cha ajabu kaning'ang'ania mpaka huwa anitoa pesa some time anilushia vocha kuanzia ya buku10,nahuwa nikifanya nae sexy hwa si enjoy kama nipo nam2 nimpendae.je nianzaje kumwambia na hali nilimsistiza kuwa nampenda mno wakati namtoke?
Mshenzi wa tabia.............................................na dada zako watafanyiwa hayo hayo...........................
What goes around comes around.......................pu**$%^&>*"!vu!
paleka kwenye jukwaa la wakinamama mapenzi mapenzi! Acha kukalia ujingwa
Wewe lazima yamekukuta, watu wamekula mzigo hadi utamu ukaisha wakakutupia vilago vyako maana hizi hasira ni za sakafuni mwa mtima kabisa