nasri athumani
Member
- Jul 13, 2011
- 64
- 8
Ninampenzi wangu ambae tunakalibia miaka 2 ya mahusiano yetu,wakati ninamtongoza nilikua nataka awe dem wa kupiga na kusepa,lakin cha ajabu kaning'ang'ania mpaka huwa anitoa pesa some time anilushia vocha kuanzia ya buku10,nahuwa nikifanya nae sexy hwa si enjoy kama nipo nam2 nimpendae.je nianzaje kumwambia na hali nilimsistiza kuwa nampenda mno wakati namtoke?