Potelea Mbali, Naridhika
Ni miezi mitatu sasa naenjoy maraha tele ya binti wa kitanzania aliye masomoni Netherland.
usiku tunajinafas vya kutosha kwa kuoneshana kila kitu.
Kwangu hoja ya distance relationship doesnt work ni kama hoja isiyo na mashiko.
Naenjoooooooooy!
enjoy bna kwa mda ulopo nae jiachie nae akija ondoka uwe umefurah angalau,mwambie akuonyeshe hadi 0717
Potelea Mbali, Naridhika
Angalia sasa usije ukawa unapiga punyeto baada ya hapo
Angalia usiishie kuona tu, kula wale wengine... Shaurilo!!!
Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums
Hahahaha!!! Ama kweli penzi ni kitovu cha uzembe, kaka unaambiwa unakula kwa macho unasema " potelea mbali"???? Haha
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
Mkuu naona kama unajidanganya tu, wakati wewe unaonyeshwa tu wenzako huko aliko wanakula live. Hata wa kuonyeshwa pia unaweza ukawa si peke yako, fahamu kwamba na wengine waonyeshwa pia.Ni miezi mitatu sasa naenjoy maraha tele ya binti wa kitanzania aliye masomoni Netherland.
usiku tunajinafas vya kutosha kwa kuoneshana kila kitu.
Kwangu hoja ya distance relationship doesnt work ni kama hoja isiyo na mashiko.
Naenjoooooooooy!