Ananing'ata! Kwa kweli naumiaga!

wakt mwingine tunaumia kwa kutosema ukweli.MWAMBIE AKIFANYA HIVYO UNAUMIA NYONYO YAKO..we fanya masihara iko siku anatokanayo moja
 
[B said:
Mtego wa Noti[/B];2702592]Sasa hii inakoelekea ni balaa!!

Hivi hii ni starehe au ni kitu gani? Et mtu mko kunako sita kwa sita, mara katika kuandaana ili kila mtu aingie katika ulimwengu ule akiwa na raha......demu anavamia nipple zangu!!!......anaanza kuziminya na kuzing'ata kwa meno kama vile anataka kuzichomoa.......anazing'ata weeeh..mi najitahidi kujikaza kwa kudhani kuwa labda atacha muda si mrefu....anaachia...anang'ata....anaachia...anang'ata!

Sasa sijui na yeye ndiyo namna anavopata raha akining'ata? Kila ninapokutana nae, mi hutoka nikiwa na maumivu makali kwenye nipple zangu baada ya gemu! Nikimuuliza anasema eti hata yeye hajui kwa nn inatokea ivo! Kuna muda mpaka nilikuwa nafikiria nitafute helmet ya kifuani lakini nazo hazipo halaf itaharibu mtiririko wa mpenzi! Sasa nimfanyeje huyu kiumbe?

Huo ni mtego wa noti tu.
 
jamaa angu mmoja wa udsm aliachana na demu ake hivyo hivyo..demu alikua anampiga jamaa makofi ile mbaya wakati jamaa anamtaarisha,baada ya gemu jamaa akilalamika demu anasema hakumbuki lolote,POLE SANA MKUU
 
Kwani huwa mnafanyaga bila kuzungumza na kuambiana nini kinampa raha mwenzio? Au mnaogopana? Achani hizo!
 
Back
Top Bottom