Ananing'ata! Kwa kweli naumiaga!

akitaka game mkaushie kwa muda, akiuliza vp mbona unampotezea? mwambie unauguza maumivu ya chuchu, lazima aache unless kama atakuwa na pengine pa kupoozea
Ni moja kati ya njia za amani za kupunguza kung'atwa. Hakuna kitu kizuri kama mawasiliano katika mahusiano.
na wew wakat ukizinyonya zake mn'gate kdg apate fleva...
Hii inaweza kuleta matokea mazuri ya muda mrefu, hatari zake ni kwanza iwapo Mtego wa Noti atatumia nguvu za ziada katika kung'ata, pili, ikiwa katika kufanya hivyo akampoteza kabisa.

Mwambie ukweli iko cku midadi ikimpanda vizur utakuta gololi moja haipo..mwambieee kuliko kuumia..
Hii nzuri pia. Hakuna kitu kizuri kama mawasiliano katika mahusiano.


vijana acheni zinaa
Na kama mtashindwa kujizuwia, MSING'ATANE

jaribu kumwelewesha kama hupendi au umgeuze msiwe mnaangalia au ukaruhusu akutzame kifua
Bora njia kama hizi kwa kutatua tatizo kwa njia ya mawasiliano.
 
.....me love this avatar.....
avatar14192_2.gif



Yaani nimecheka mpaka basi... Preta sijui wamekusahau vipi kua wewe ni mchakachuaji mmoja wapo....lol
 
Hivi jamani kwa nini usimwambie kweli?? Alafu nahisi anakuletea mapenzi ya kusimuliwa... Kaambiwa na rafiki zake huko kua uking'ata jamaa ndo anakolea kaileta kwako, unavizidi jikaza anaongeza bidii ya kung'ata....lol
 
Mradi wa champion, wana kauli mbiu yao, wanasema "Vunja Ukimya", ongea naye mkuu, iko siku atakuumiza akizidiwa na raha!
 
Pole sn inawezekana network yake huwa inakata vinginevyo angegundua tu mwenyewe kuwa nanachokifanya hukifurahii, cha kufanya ongea naye wakati wa gud time kwa kumwabia kwa style ya kumsifia katika yale ambayo huwa unayafurahia na umwambie lile la kukung'ata huwa linakukata stim ataelewa tu na kwavile huwa hafanyi makusudi ataacha.
asante, ntamwelewesha! babu anaendeleaje?
 
Hivi jamani kwa nini usimwambie kweli?? Alafu nahisi anakuletea mapenzi ya kusimuliwa... Kaambiwa na rafiki zake huko kua uking'ata jamaa ndo anakolea kaileta kwako, unavizidi jikaza anaongeza bidii ya kung'ata....lol
kumbe inawezekana analeta mapenzi ya kwenye tamthiliya?!!! ngoja nimapngie mistari ya kumuweka sawa maana nikikurupuka huwa ni bingwa wa kususa!
 
dah ohh okee...kumbe huwa inakuwa hivi...si na wewe umng'ate zake?
 
Weka plaster kwenye chuchu wakati wa game,akiuliza mwambie nina vidonda vya tokea last game
 
mkuu umenigusa panako.
Mana mi ndo alama kabisa. Wangu huning'ata shingoni, na nna love scars(sio love bite) zakutosha shingoni.
Wadau walinipaga ushauri hapo, umeweki kwa kiasi chake.
 
Sasa hii inakoelekea ni balaa!!

Hivi hii ni starehe au ni kitu gani? Et mtu mko kunako sita kwa sita, mara katika kuandaana ili kila mtu aingie katika ulimwengu ule akiwa na raha......demu anavamia nipple zangu!!!......anaanza kuziminya na kuzing'ata kwa meno kama vile anataka kuzichomoa.......anazing'ata weeeh..mi najitahidi kujikaza kwa kudhani kuwa labda atacha muda si mrefu....anaachia...anang'ata....anaachia...anang'ata!

Sasa sijui na yeye ndiyo namna anavopata raha akining'ata? Kila ninapokutana nae, mi hutoka nikiwa na maumivu makali kwenye nipple zangu baada ya gemu! Nikimuuliza anasema eti hata yeye hajui kwa nn inatokea ivo! Kuna muda mpaka nilikuwa nafikiria nitafute helmet ya kifuani lakini nazo hazipo halaf itaharibu mtiririko wa mpenzi! Sasa nimfanyeje huyu kiumbe?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hapo ww ndio unaharibu koz ukinyamaza yy anaona kama unaugulia kwa utamu na sio maumivu na yy anajitahidi kukuonesha maufundi ili usimuache
ahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yani imenichekesha sana hii na pia kuna uwezekano kabla ya ww alikueko ambaye anapenda hiyo style
pole sana
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom