Loreen
Senior Member
- Dec 24, 2011
- 110
- 32
habari wana jf ,jamani kuna issue imemtokea my friend ila kaniomba ushauri afanyaje nikaamua kuleta jamvini kabla cjampa ushauri.Ni hivi huyo rafiki yangu ana BF ambae walianza uhusiano ka miezi mitatu iliyopita lengo la mwanaume wasisex mpk aje kujitambulisha nyumbani lakini mwanzoni kaka alikubali ila kadri cku zinavyoenda kaka anamlazimisha wafanye deepkic then amu suck, kila wakikutana kaka anamkic ,na kumlazimisha amsuck...... ila dada akakataa coz anaenda kinyume na makubaliano.ss ii juzi anamlazimisha wa sex ndo alikua anaomba ushauri afanyaje?