Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Wakuu, ilitokea nimefahamiana na dada mmoja, na tukawa marafiki wazuri, ila sikuwahi kumwambia chochote kama uchumba. Baadae nikawa mbali naye kidogo, kilicho nishangaza ni majibu ya mkato, fyongo, no explanation, kitu ambacho hakikuwepo mara ya kwanza.
Alisha niambia ana mchumba, sasa nashangaa kwa nini ananichukia wakati mchumba anaye?
Naomba msaada kwa wenye uzoefu.
Alisha niambia ana mchumba, sasa nashangaa kwa nini ananichukia wakati mchumba anaye?
Naomba msaada kwa wenye uzoefu.