Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Huyu uliyenaye sasa ni mkeo? kama sio hizi ngonjera za kumkataa shetani ni kama nyimbo za taarabu kule uswazi!
Weye nenda kamege; and no holds bared!
hahaha!! Wanaume bwana!!!
Huyu uliyenaye sasa ni mkeo? kama sio hizi ngonjera za kumkataa shetani ni kama nyimbo za taarabu kule uswazi!
Weye nenda kamege; and no holds bared!
Kuna msichana nilikuw ana mahusiano naye kwa kipindi cha kama mwaka mmoja.
Kutokana na kushindwana tabia tukaachana mwezi wa kwanza. Sasa amepata habari kuwa nina mwanamke mwingine amekuwa akinipigia simu mara kwa mara kuwa ana hamu na mie, eti niende kwake nikamkamilishie harara zinanzomsumbua.
KAMA SI KUNITEGA NA KUTAKA KUNIHARIBIA PENZI LANGU NI NINI ANACHOKITAKA KWANGU?
Kuna msichana nilikuw ana mahusiano naye kwa kipindi cha kama mwaka mmoja.
Kutokana na kushindwana tabia tukaachana mwezi wa kwanza. Sasa amepata habari kuwa nina mwanamke mwingine amekuwa akinipigia simu mara kwa mara kuwa ana hamu na mie, eti niende kwake nikamkamilishie harara zinanzomsumbua.
KAMA SI KUNITEGA NA KUTAKA KUNIHARIBIA PENZI LANGU NI NINI ANACHOKITAKA KWANGU?
Kuna msichana nilikuw ana mahusiano naye kwa kipindi cha kama mwaka mmoja.
Kutokana na kushindwana tabia tukaachana mwezi wa kwanza. Sasa amepata habari kuwa nina mwanamke mwingine amekuwa akinipigia simu mara kwa mara kuwa ana hamu na mie, eti niende kwake nikamkamilishie harara zinanzomsumbua.
KAMA SI KUNITEGA NA KUTAKA KUNIHARIBIA PENZI LANGU NI NINI ANACHOKITAKA KWANGU?
Kuna msichana nilikuw ana mahusiano naye kwa kipindi cha kama mwaka mmoja.
Kutokana na kushindwana tabia tukaachana mwezi wa kwanza. Sasa amepata habari kuwa nina mwanamke mwingine amekuwa akinipigia simu mara kwa mara kuwa ana hamu na mie, eti niende kwake nikamkamilishie harara zinanzomsumbua.
KAMA SI KUNITEGA NA KUTAKA KUNIHARIBIA PENZI LANGU NI NINI ANACHOKITAKA KWANGU?
nimeshakula kiapo cha kumkataa shetani na kazi zake zote na mambo yake yote, na raha zake zote na milki zake zote.
Nimejitoa kikamilifu kuwa mwaminifu kwa msichana wangu.
ni fyala fyala nini? Kwani wewe huna hamu naye???
kaka unatisha.(hamis mkali)