Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,620
- 154,964
Kuna msichana nilikuw ana mahusiano naye kwa kipindi cha kama mwaka mmoja.
Kutokana na kushindwana tabia tukaachana mwezi wa kwanza. Sasa amepata habari kuwa nina mwanamke mwingine amekuwa akinipigia simu mara kwa mara kuwa ana hamu na mie, eti niende kwake nikamkamilishie harara zinanzomsumbua.
KAMA SI KUNITEGA NA KUTAKA KUNIHARIBIA PENZI LANGU NI NINI ANACHOKITAKA KWANGU?
Kutokana na kushindwana tabia tukaachana mwezi wa kwanza. Sasa amepata habari kuwa nina mwanamke mwingine amekuwa akinipigia simu mara kwa mara kuwa ana hamu na mie, eti niende kwake nikamkamilishie harara zinanzomsumbua.
KAMA SI KUNITEGA NA KUTAKA KUNIHARIBIA PENZI LANGU NI NINI ANACHOKITAKA KWANGU?