Analysis: End of Gadaffi, Reasons for Fear Kikwete, Mugabe, Museveni...

Pro-CDM wanajidanganya sana, uwezi kufananisha mgogoro wa Libya na Tanzania.
Bahati mbaya Tanzania hamna chama cha siasa kinachoweza kuwauganisha wa Tanzania wote, kuna chama cha siasa cha CDM ndio kina bahati ya kuwaunganisha Wachagga wote Tanzania, sasa Wachagga wote wajikusanye na CMD yao na waombe msaada kutoka Nato na Marekani, wanaweza kushinda sehemu mbili tu Kilimanjaro na Arusha Tanzania nzima.
Angalia mifano Misri, Tunisia, Libya, Syria, Yemeni, hakuna vyama vyovyote vya siasa vinavyopambana ni Wananchi wenyewe ndio wameungana kupambana na serikali zao.
Sasa CDM kwa hiyo kinakosa sifa sababu hakina muundo wa kiutaifa, kina muundo wa Kidini na Kikabila
We piga domo tu hadi uchoke! but time will tell, maana hata enzi ya Hitler kulikuwa na watu waliokuwa wakimsapoti kama wewe.
Huko Tunisia,Egypti,Zambia,Kenya,Malawi na sasa Libya kuna watu kama wewe ambao wanabishana na upepo wa mabadiliko na
hawataki kuangalia alama za nyakati....lakini mwisho wa siku umma ulishinda na sasa hawaamini macho yao wamebaki na aibu.
Nakuombea maisha marefu ili uje kushuhudia siku ambayo ccm inang'olewa madarakani. Time will tell
 
We piga domo tu hadi uchoke! but time will tell, maana hata enzi ya Hitler kulikuwa na watu waliokuwa wakimsapoti kama wewe.
Huko Tunisia,Egypti,Zambia,Kenya,Malawi na sasa Libya kuna watu kama wewe ambao wanabishana na upepo wa mabadiliko na
hawataki kuangalia alama za nyakati....lakini mwisho wa siku umma ulishinda na sasa hawaamini macho yao wamebaki na aibu.
Nakuombea maisha marefu ili uje kushuhudia siku ambayo ccm inang'olewa madarakani. Time will tell
Wewe kweli akili Masaburi, soma pandiko langu vizuri ndio unijibu.
Kwanza mimi sio CCM, nachokwambia Wananchi ndio wanaweza kuindoa serikali ya Magamba madarakani sio CDM chama cha Wachaga hakiwezi kuwasimamia Watanzania, hakina muundo wa kitaifa, ni ngumu sana. hata wakisaidiwa na Nato na US wanaweza kushinda Kilimanjaro na Arusha tu
 
AngaliA kenge mwingine huyu,mmevamia JF nyie makinda hamna hoja.
We Mchaga Sababu Computer umeanza kuigusa 2007 wajiona u mzee oi Hapa Usione Mtu kajiunga 2011 ukadhania kavamia tu JF hapa ni wadau wa muda sana tokea Jambo forums wewe umeingia JF wajiona mzee sihitaji kusema maneno machafu kama ulivyoniita mimi Kenge wewe unaweza hata kuwa mwanangu nakusamehe.

Ila kama mtu akitoa Wazo Mgando ni Crap tu anapewa na pia ujue U Need to change usiwe kama Magamba wanajiona wenyewe ni watu wa kale so nchi ni kama yao hawataki mtu awakosoe sababu ni mali yao jua There is no permanent place to live in this world hata wewe utaenda zako kama na utatolewa kwa ubinfsi uliozaliwa nao
 
Huwa naamini kila mtu hata awe na mabaya ama mazuri,lakini atakua na wapenzi wake na maadui zake. Napenda kusoma historia na siasa. Historia siku moja itamtendea haki Gadhafi. Lakini kwangu mimi namuona ni mtawala aliyepoteza mwelekeo baada ya kukaa uongozini kwa kipindi kirefu. Haya yote ya kuwaita viongozi wa kiafrika kila mara Libya eti kuunda umoja ama serikali moja ya Afrika ilikua ni uharibifu wa pesa za Libya. Hata yeye naamini alikua anajua anafanya jambo lisilowezekana,lakini kwasababu ya ulevi wa madaraka na pesa za mafuta ya walibya akaamua kutafuta utukufu na kuabudiwa. Tunabishana na muungano wa Znz na Tanganyika,hatupendi hata shirikisho la kisiasa la nchi za Afrika Mashariki,tunatofauti kibao kisiasa na baadhi ya nchi zetu zinahasimiana. Eti Gadhafi anawaita hao watu waunde umoja. Na baadhi yao wakimshutumu yeye kwamba anaunga mkono wanaotaka pindua serikali zao. Tuache unafiki. Naamini enzi ya Gadhafi imeisha. Kukataa hilo ni kujitafutia ugonjwa wa moyo bure.
 
Back
Top Bottom