Analysis: End of Gadaffi, Reasons for Fear Kikwete, Mugabe, Museveni...

FeedBack said:
jmushi1

Nilikuwa nafikiri mtu ukiwa Premium member unakuwa na busara, umeshindwa kabisa kutofautisha matatizo ya Tanzania na Libya.
Nilifikiri kabla ya kujiunga na JF na kuchangia hoja, utapima kwanza uwezo wako wa kuchambua hoja husika kabla hujakurupuka.Wengi wa Premium members wana busara hiyo ni kweli,lakini siyo lazima iwe hivyo.Sana sana wengi wetu, tuna uzoefu zaidi wa kujuwa yapi mchele yapi chuya.Uzoefu wetu ni dhahabu humu kwani tumesikia na kuona mengi,at least "hojawsie."Unadai nimeshindwa kutofautisha matatizo ya Libya na Tanzania.Nadhani wewe ndiyo umeshindwa kufanya hivyo kwa kudai kuwa eti mtamwondoa JK simply kwakuwa Gaddafi ameondolewa.Mimi nasema hiyo ni nonsense.Nyie wengine hamtumii muda kusoma na kudigest kile mlichokisoma.Na mkifanya hivyo huku wengi wakiwa na mwelekeo wa chuki za kidini na kikabila basi hamtafanikiwa hata ku win hearts za wale walio kwenye nafasi ya ku deflect.Humu tulikuwa tunapata data sana kutoka ndani humo.

Kitu cha kwanza Tanzania hatuna ukabila ila tuna matatizo ya kiuchumi, matatizo ya Libya si uchumi kama sisi ni 'oppression', matabaka 'classes' na huo ukabila, pili usifikiri kwa vile Libya wamemtoa Gaddafi kwa ukabila kwa hiyo na Kikwete naye atatolewa kwa ukabila la hasha, na kuitwa mkwe re au mpemba si ukabila ndugu yangu. Usituambie Misri nako walimtoa kwa ukabila, je Irak nako ni ukabila.
Unadai hatuna ukabila na kuna watu humu wana mdescribe JK kwa yale anayaofanya na kuyalingansiha na ukweree?Ama unataka sababu gani nyingine ambazo zinaweza kutumika against our mission here in JF?Mnakata tawi mlilolikalia.Members waliokuwemo humu toka kitambo wasingeweza kwenda low kama wengi wenu mnavyofanya.Nimesema kama mkisaidiwa na hao wazungu,basi ujuwe vita ya ukabila na dini haitaepukwa.Jifunze kwanza kutambua wanachokitaka kutoka kwetu hao western countries.Na kwa taarifa yako wao ndiyo wanapenda hayo matabaka yashamiri zaidi ili waweze kutunyonya vizuri zadi.Iraki sasa ni Shia VS Sunni.Hata mafuta hayalisadii Taifa zima kama ilivyokuwa before.Utashangazwa na wananchi kuweka foleni ya mafuta kwenye nchi ambayo ni ya pili kwa mafuta duniani.Tumia akili.Hakuna mwenye ku sympathise na oppression kama mnavyodai.Ni maslahi yao kwanza.

Kwa Tanzania kitakachofanya JK awe katika wakati mgumu au hata kuondolewa si kabila lake ni uchumi maisha ya wananchi kuendelea kuwa magumu huku wakiambiwa statistics zinaonyesha uchumi wa Tanzania unakua, hilo ndilo tatizo kubwa litakalomwangusha na sio kwa wana JF kumuita mkwe re, kama uko karibu naye mwambie hivyo vinginevyo ni sawa na kumdanganya mfalme umevaa nguo kumbe yuko uchi.
Nyinyi ndo mnajidanganya kwasababu mnapiga soga tu humu na hakuna hatua mnayoichukua.Nina wasi wasi sana na kiwango cha elimu cha Tanzania.Sasa nyinyi hata mkipewa nchi mtaharibu zadi.

Kama ni kweli sababu ni uchumi mnaotaka mumwondowe JK for,then ndiyo maana nikasema wenzenu wa Libya hawakuwa na matatizo ya kiuchumi.Ni more likely kuna wanaotaka kula kwasababu tu wanaamini Gaddafi kala vya kutosha,wenye chuki za kikabila tu.Nilitangulia kusema huko nyuma kuwa hata kama sababu zetu si ukabila.Lakini wengi wenu mnavyochangia humu mna mwelekeo kwamba anayafanya mambo hayo kwasababu ni mkweree.Hilo linawapa wengine goose bumps.

Pia soma kwa makini,nilishasema kuwa hakuna mzungu atakayekuja kuwasaidia simply kwasababu maisha ni magumu.Jaribuni mapinduzi muuwawe muone kama watakuja.I can bet you hawatokuja kama hawana maslahi.Na kwa hali ilivyo,they got everything they want from you ie diamonds,gold etc,sasa wamwondowe kwa lipi na ili iweje?Kumwondoa JK itakuwa against their national Interests.Think!

Mngesema kuwa na sisi tuna sababu ya kumwondoa kwasababu maisha ni magumu due to ufisadi etc,ok,thats fine...halafu mkaandamana kutaka kumtoa mdarakani.That is still fine.Then wanajeshi wake wakawalima risasi.Unadhani watakuja kuwatetea?Tulipiga kelele humu kuhusu ufisadi na Balali alipokuja huku.Matokeo yake wala usitake kuyajuwa.

Nakushauri unapopata muda utembelee threads za zamani humu zitakuweka kwenye msitari wa kuelewa mambo zaidi.

JF ni elimu tosha sana na inafunika ile ya Kata FYI.Trust me.
 
Usicheze na NATO au Marekani, kama wamekupania uondoke madarakani. Walimtoa Noriega na kumfunga jela mvua ya nguvu! Walikuwa wnampiga taratibu huku wakijifanya kuwa wanapata upinzani wa nguvu. Lakini walipokaribia kilomita kama 75 hivi, waliingia kwa kasi sana tena ilikuwa Usiku ili Walengwa wasiweze kutoloka Nje ya nchi! Hivi ndivyo walivyomtaimu Gadafi na wanawe wawili. Sasa Gadafi atasakwa kama vile ilivyokuwa kwa Sadam Simba(hussein)! Mungu bariki viongozi wapya wa Libya wasiwe na uroho wa kama Gadafi!
<br />
<br />
 
Hii vita ni sawa na kuibiwa site mirrror na kuikuta mnadani . you create problem which will turn to opportunity. Nchi kama bongo kutawala is very simple.
 
Ni kweli usicheze na NATO,lakini vita hii haiwezi hamia Tanzania,do you know why?Marekani hana cha kugombania Tanzania kwa sababu tulishakabidhi kila kitu kwake,kumbuka tulishabadilishana naye migodi yote kwa vyandarua na mbaya zaidi vijana tunaotegemea kuleta mabadiliko kama misri,tunisia libya na kwingineko ndiyo kwanza wanatumika kwenye kampeni za malaria,msimu wa dhahabu and what so not tulibadilishana nao na madini.Tanzania wake up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni kweli usicheze na NATO,lakini vita hii haiwezi hamia Tanzania,do you know why?Marekani hana cha kugombania Tanzania kwa sababu tulishakabidhi kila kitu kwake,kumbuka tulishabadilishana naye migodi yote kwa vyandarua na mbaya zaidi vijana tunaotegemea kuleta mabadiliko kama misri,tunisia libya na kwingineko ndiyo kwanza wanatumika kwenye kampeni za malaria,msimu wa dhahabu and what so not tulibadilishana nao na madini.Tanzania wake up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe great thinkers mpo wengi.@Feedback,huyu naye si Premium.However unaona pointi?Jibu sasa kwa hoja.
 
well done LIBYA and NATO; finally all the regime of dictatorship removed!!! am glade let's move on for real DEMOCRACY
 
Ni kweli usicheze na NATO,lakini vita hii haiwezi hamia Tanzania,do you know why?Marekani hana cha kugombania Tanzania kwa sababu tulishakabidhi kila kitu kwake.......Tanzania wake up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

You said it very well! Sisi tumekabidhi rasilimali zetu bila hata ya wao kuvitolea jasho. Wanachofanya sasa nikutumia kila mbinu wenyeji/wazalendo tusishtuke. Ukweli ni kwamba Tanzania itakombolewa na Watanzania wenyewe kwasababu: nchi imeshauzwa siku nyingi kwa wazungu na waarabu. Angalia bei ya Gold inavyoenda juu wanaofaidi ni Barrick & Co, Angalia soko la coffee wanaofaidi ni Starbucks & co, angalia wanyama pori wanavyochukuliwa sisi tunaangalia tu, and the list goes on and on. Ni lazima tujipange kisawa sawa kwasababu tukianza, haya mataifa ya magharibi yatafanya one of the two things 1) step back and watch us fighting and move slowly to the side that appears to win(to offer their support in exchange with resources 2) support the enemy (mafisadi) to protect their interest. We need a plan and a clear strategy ili tukianza, tusikubali kurudi nyuma/au kununulika at any cost maana vishawishi vitakuwa vingi sana from China, US, and Europe.
 


You said it very well! Sisi tumekabidhi rasilimali zetu bila hata ya wao kuvitolea jasho. Wanachofanya sasa nikutumia kila mbinu wenyeji/wazalendo tusishtuke. Ukweli ni kwamba Tanzania itakombolewa na Watanzania wenyewe kwasababu: nchi imeshauzwa siku nyingi kwa wazungu na waarabu. Angalia bei ya Gold inavyoenda juu wanaofaidi ni Barrick & Co, Angalia soko la coffee wanaofaidi ni Starbucks & co, angalia wanyama pori wanavyochukuliwa sisi tunaangalia tu, and the list goes on and on. Ni lazima tujipange kisawa sawa kwasababu tukianza, haya mataifa ya magharibi yatafanya one of the two things 1) step back and watch us fighting and move slowly to the side that appears to win(to offer their support in exchange with resources 2) support the enemy (mafisadi) to protect their interest. We need a plan and a clear strategy ili tukianza, tusikubali kurudi nyuma/au kununulika at any cost maana vishawishi vitakuwa vingi sana from China, US, and Europe.
Unstoppable,
This is exactly my point.Watu humu hawajishughulishi kufikiri.Wakati ule Balali alipokimbilia huku.Tulilalamika sana hadi state department.Kweli walisikia malalalmiko yetu.Walichokuwa wakisema ni "Badilisheni serikali"Kwamba wao wandeal na serikali ambayo wanaona imechaguliwa kidemokrasia ie ya JK.

Muda si mrefu tukaona Bush na JK hao wako pamoja kwenye mambo sijui ya vyandarua nk.Haukupita muda tukagunduwa pia kuwa Barrick ni ya kina Bush.Sasa hadi hapo tukaona hata sisi maisha yetu yako hatarini kumpigia kelele JK.

Hamkukuta issues za kina Sinclair humu.Huwa sipendi kuona kwamba tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele kwenye harakati.Wengi humu wanaujiunga hawa take their time kuisoma JF kwanza.Hawajui manufaa yake na ni kwa jinsi gani imeshiriki kwenye harakati bila haya maneno ya kipuuzi yanayoelekea kutawala humu ndani siku za karibuni.Hadi tumekuwa na member ambao hata kusoma hoja zao inatia kichefu chefu.Nakubaliana kabisa kuwa Tanzania itakombolewa na watanzania wenyewe.Period.Na pia siyo kwa utaratibu wa kupigana vijembe vya kidini ama kikabila.Mwisho wa hayo atakayenufaika ni huyo huyo kaburu asiyekuwa mtanzania.
 
Hakuna hata kiongozi mmoja duniani nyakati hizi ana uhakika wa kutawala kesho akiamka.
Nguvu imehamia kwa Watawaliwa dunia nzima ...

Na Viongozi wenye akili nzuri hawapingani na hii global change ...lakini Wenye vichwa vigumu Kama Gadaff ... Wamevuna walichopanda!

Africa ya Masharkii ... Kikwete, M7 na Kibaki what do you have in Mind ...? Bob Mugabe nk ..Kaeni Mkao wa kuondoka!!!
 
Hakuna hata kiongozi mmoja dunia nyakati hizi ana uhakika wa kutawala kesho akiamka.
Nguvu imehamia kwa Watawaliwa dunia nzima ...

Na Viongozi wenye akili nzuri hawapingani na hii global change ...lakini Wenye vichwa vigumu Kama Gadaff ... Wamevuna walichopanda!

Africa ya Mashiri ... Kikwete, M7 na Kibaki what do you have in Mind ...? Bob Mgabe nk ..Kaani Mkao wa kuondoka
Mkuu i respect you,however i am afraid to say that mtasubiri sanaa!Kichwa ngumu ya Gaddafi ingekuwa dihidi ya wananchi wake pekee wala yasingemkuta.Mmeshika kwenye makali hamna ujanja mkuu.Walibya wamesaidiwa na NATO si kwasababu ya mapenzi ya NATO kwa raia wa Libya!Yanayotokea Libya kamwe hayawezi kutokea hapo Bongo,i can bet my life on this.Ni sawa na fisi kusubiria mkono wa binadamu uanguke kwa jinsi anavyoona unaning'inia.
Sorry but thats the truth mkuu wangu.
Tuendelee na mjadala mkuu,kwasababu nakuaminia.Jaribu kuni convince maybe i will change my mind on this.I am for Afrika tho.Tuko wote humu ndani kitambo tunaelewana misimamo yetu.I am ready to debate you my friend.
 
KIKWETE asidhani tumeridhika na hali iliyopo sasa katika nchi yetu achukue hatua lasivyo atamfuata gaddaf muda si mrefu.
 
KIKWETE asidhani tumeridhika na hali iliyopo sasa katika nchi yetu achukue hatua lasivyo atamfuata gaddaf muda si mrefu.
Chukua hatua kama hujaridhika.Kusema tu atamfuata Gaddafi ni dua la kuku.Haisaidii.Na kumtegema mzungu aje kukusaidia kwa kudhani ana nia njema na nyie,basi mmekosea.Ni vyema kumtambua adui yako kabla hujakurupuka.
Je tukiwapinga kina JK na Barrick kwa unyonyaji wanaotufanyia halafu tukalimwa risasi kama ilivyo kwa wale wa Tarime huko migodini mnadhani mtasikilizwa?Kwa kumtegemea myonyaji mnaharibu zaidi kwasababu yeye atataka muwape kwa bei rahisi zaidi hata hii ya kina JK ili wawasapoti nyie.
Just be carefull guys and think deep.
 
Well, Libya also is a lesson to Tanzania as well, Libya Ghadaffi Tribalism put him to power and it was Tribalism which overthrew him

When he took power in the 60s he forge alliances with small tribes such the majority of Libyans depend on their tribal connection in order to obtain their rights, and for protection, and even in order to find a job, particularly in the state apparatus.
But due to Oil Cut off those tribe leaders were not getting the Oil royalties and they were scared if they will continue supporting Ghadaffi they will suffer after his fall... BOOOM... they defect, after his close assistant run away ...

So, It was not Islam which hold Libya it was Tribal divisions; Some of us whom in Tanzania started a religion division it will fail...
 
US na Nato ndio wanaiendesha hii dunia kwa maslahi yao.
Hivi vita vya Libya uwezi kusema nguvu ya umma imemtoa Gaddafi, walioangusha utawala wa Gaddafi ni US na Nato waasi wapo kama vibaraka tu. Wamepewa kila aina za silaha na US na Nato, tumeona juzi walipokutana Waziri Mkuu wa Ujerumani Angela Merkel, na Waziri Mkuu wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, jinsi ya kugawana matunda ya vita vya Libya.
Sarkozy anamwambia wazi Angela Merkel, nchi yako mbona imetoa mchango mdogo kwenye vita vya Libya, tusikae tukategemea hata kidogo eti siku moja US na Nato watawasaidia Watanzania, tizama Zimbabwe mpaka leo kweli Nato na US wanashindwa kumsaidia Morgan Tsvangirai kuungusha utawala wa Mugabe au Zimbambwe hakuna mafuta.
Sasa hivi kuna mauaji makubwa yanaendelea nchini Syria, US na Nato wamefanyaje zaidi ya kumwambia rais Syria Bashar al-Assad, kuheshimu haki za binadamu wanashindwa kuungasha utawala wake kwa sababu wana maslahi nae








.
 
20118221275642734_8.jpg



20118221404579734_8.jpg


Pictures speak for themselves, sina cha kuongeza !
 
20118221275642734_8.jpg



20118221404579734_8.jpg


Pictures speak for themselves, sina cha kuongeza !
Ha ha ha!Za CDM huwa huzioni kamanda?Mikutano na maandamano ya CDM ni zaidi ya hayo.Tatizo bongo hakuna NATO.Reason why?Hali halisi speaks for it self!
 
New World order in the name of Democracy! Mabeberu watapanga safu yao ya uongozi yenye majina ya warithi. anatoka kibaraka wao mmoja anaingia mwingine na kuendeleza u-kuwadi!!
African must change their strategy like what China did!!
 
Back
Top Bottom