Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ndio maana unaambiwa huwa hueleweki, nimekupa mifano ya kina Sadaam, Savimbi kama maslahi yao yalikuwa kwa viongozi mbona waliwanyonga.Feedback,ulichoandika hapo kina tofauti gani na kile nilichosema wakati najenga hoja yangu?Nani kasema nawapenda hao magaidi wa NATO ama kuwa ninafikiria wanatupenda?Nisome again.
BTW thats exactly what i was saying.Kwamba hawatupendi kihivyo.Walisema sababu ni wananchi wa Libya wasiuwawe ndiyo maana wameenda huko.Jaribuni na nyie mwone kama mkiuwawa watakuja kuwalinda.Maslahi yao yako zaidi kwa viongozi wenye kuwatumikia na hizo rasimali.thats what i said.Haijalishi kama kiongozi ni dictator ama la,kinachojalisha ni kama wanafanya nao biashara isiyolinufaisha taifa lengwa.Interests zao kwanza.
U get it?