Analysis: End of Gadaffi, Reasons for Fear Kikwete, Mugabe, Museveni...

Wazungu wakija kununua ardhi Rukwa mnawapa thousand of thousands of acres,
Wakija kukunua dhahabu yenu kwa bei chee mnawakaribisha
Wakitaka kuwaondoa viongozi wabovu kina Gaddafi na kina Kikwete mnawaona wabaya,

Congraturations NATO if you think you have any any reason to end CCM regime it doesn't matter how small is you are warmly welcome, you have my support.
Viongozi wababe wa Afrika Kina Mugabe, Mseveni including Kikwete m,,,i yanagonga kwa wakati huu.
Mwambieni mkw ere amkaribishe rafiki yake Gaddafi muone.

Hivi wewe unaweza kumlinagnisha Gaddafi na nani,,,. Wangeacha wananchi wamtoe wenyewe sio NATO. Sisi wabongo nadhani bado sana kwenye analysis. Hivi wewe ukigomabana na mkeo/mmeo basi msuluhishi aje na kubomoa vioo na kuchoma magari eti wewe unamnyanyasa mmeo/mkeo.

Sasa ukiacha fikra za kutatuliwa migogoro basi hizo rasilimali katu hutatafaidi na kama utaendelea na mtizamo eti western wanawatoa viongozi wabove umekwisha no way smart guys kama wazungu wakusaidie for free.

Nchi hii inaliwa na wachache kwa sababu wengi hatuwezi kufikiri sawasawa. mabadiliko libya yalitakiwa lakini si kwa shinikizo la western na kwa nini hawasemi system iliyopo ni mbovu bali gadaffi ni mbaya. So the strength of Gaddafi is threat to western. UKOLONI HUO Thing big.
 
Hivi wewe unaweza kumlinagnisha Gaddafi na nani,,,. Wangeacha wananchi wamtoe wenyewe sio NATO. Sisi wabongo nadhani bado sana kwenye analysis. hivi wewe ukigomabana na mkeo/mmeo basi msuluhishi aje na kubomoa vioo na kuchoma magari eti wewe unamnyanyasa mmeeo/mkeo. Sasa ukiacha fikra za kutatuliwa migogoro basi hizo rasilimali katu hutatafaidi na kama utaendelea na mtizamo eti western wanawatoa viongozi wabove umekwisha no way smart guys kama wazungu wakusaidie for free. nchi hii inaliwa na wachache kwa sababu wengi hatuwezi kufikiri sawasawa. mabadiliko libya yalitakiwa lakini si kwa shinikizo la western na kwa nini hawasemi system iliyopo ni mbovu bali gadaffi ni mbaya. So the strength of Gaddafi is threat to western. UKOLONI HUO Thing big.
Kwani wewe unamlinganisha Gaddafi na nani..... unafikiri Gaddafi ni mbaya kuliko Kikwete. The only good thing to tell these agressive leaders is to be good to their people sio kuwabambikia makosa na kuwafunga midomo wapinzani wao bila sababu za msingi nafikiri hilo ndilo limemtoa Gaddafi.
 
Watanzania hawawezi kufanya ya Libya Tunisia au Egypt! Watanzania ni maskini mno hata hawajui wanahitaji nini. Elimu ndiyo kabisaaaa. Ukiwadanganya kwa pipi na amani na utulivu watasahau yote yanayowasumbua. Its's too simple for the time being to manage tanzanians. Unaona mfano wakujivua gamba? Wengi wametekwa na uongo huo. Simply come out with a silly political slogan, then you have the TZs under your feet. Bado kuna watu mpaka leo hawajaona ubaya wa CCM, eti chama chao kimewatoa mbali. No Tanzania are too far to act though one day it might happen.
 
Watanzania hawawezi kufanya ya Libya Tunisia au Egypt! Watanzania ni maskini mno hata hawajui wanahitaji nini. Elimu ndiyo kabisaaaa. Ukiwadanganya kwa pipi na amani na utulivu watasahau yote yanayowasumbua. Its's too simple for the time being to manage tanzanians. Unaona mfano wakujivua gamba? Wengi wametekwa na uongo huo. Simply come out with a silly political slogan, then you have the TZs under your feet. Bado kuna watu mpaka leo hawajaona ubaya wa CCM, eti chama chao kimewatoa mbali. No Tanzania are too far to act though one day it might happen.
Dont be pessimistic..nyie ndo nmaotuangusha. Ss wachache wenye elimu tuwaeleimishe hao wengi wasiokuwanayo na tuwaeleze huo umaskini walio nao they dont deserve it kama viongozi wengi wanavohubiri nchi yetu eti ni maskini wakati wenyewe na watoto wao wanaishi peponi.

Refresh your memory last year jinsi Dr. Slaa na CDM walivozunguka nchi nzima kuwaeleza waTZ..Hukuona impact yake?
 
Katika kitu ambacho viongozi wa AU kimekuwa kikiniudhi ni unafiki na ubinafsi wao. Walijua kuwa Ghadafi ni dikteta lakini kwa sababu alikuwa anawafadhili wakakaa kimya. Alivyoanza kushambuliwa wakasema hawataki kuingiliwa na mataifa ya nje. Wakati huo huo wakawa wanasupport kuingiliwa katika nchi nyingine. Sasa swali kwa akina Membe, Ghadafi kaondoka je mtatambua nguvu ya umma wa libya?
 
Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.<br />
<br />
Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.<br />
<br />
Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
<br />
<br />
wewe ni sawa kabisa na wale walinzi walio kuwa wanamlinda Rais Hussein wa Iraq, wakimwambia mzee uko salama kabisa cha ajabu akaja kutekwa kama kuku na kunyongwa. Jk hawazi kuondolewa kwa sababu ya dini au kabila. Kuna vitu vya msingi navyo ni kukumbatia ufisadi,kukandamiza democrasia, kushindwa kutatua matatizo ya watanzania nayo kwa sasa ni ugumu wa maisha: kupanda kwa bidhaa na huduma kama vyakula,mafuta. Kukoseka kwa huduma za jamii kwa ukamilifu wakati yeye na mtoto wake kuendelea kula bata na kujilimbikizia mali nyingi, pamoja na viongozi wandamizi wakuu wa serika wakidhani nchi ni yao tu. Kwa hiyo ukisikia vasco anang'olewa ujue kuna vitu vya msingi sio udini na ukabila.
 
<br />
<br />
wacha uchochezi msilitumbukize taifa kwenye matatizo mkadhani NATO watawasaidia hao jamaa wana interest na hapa kwetu wanachota raslimali zetu kwa hiyo msishangae kuona wanaisaidia serikali,pili hao wanaowatuma na familia zao watajichimbia ughaibuni nyie mtauwawa na wao wa-watch kwenye tv,tatu angalieni nyuma pazia hakuna rais aliewaletea wananchi wake maendeleo kama

Watu kama nyie nchi za watu makini wanapigwa risasi unaogopa kufa wakati unadai haki zako za msingi ndomana ccm wanatugeuza wanavyotaka kwauoga wetu. WATANZANIA tuamke tudai haki zetu hata kwa mtutu powa tu
 
Miafrika ilishalaniwa na haina pa kutokea mtalia sana...mnasupport Ulaya na Marekani kuvamia Afrika ili viongozi wa Afrika waogope wasithubutu kubishana na Wazngu wakati huo huo ni nyie mnaosema serikali zinapigia magoti wazungu nyie mna nini nyie?!!!

Nani asiejua Ghadaff kaondolewa na Wazungu mana hawaheshim na kuwapigia magoti nani?!! akili hamna ndio mana mnapenda kusaidiwa..mnawaza uzinzi na dili tu useless kabisa!!!



Mkuu hapo kwenye red naona una utani na raisi wa nchi ya TANZANIA Dr.Kikwete."Alisema watu wanabeza safari zangu hawajui naenda KUHEMEA"
 
Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.<br />
<br />
Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.<br />
<br />
Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
<br />
<br />

Post zako zoooooote hua sielewi unaandika nini, ni ngumu sana kujua hoja yako ya msingi. Afu hata consistency huna duh
 
Hivi wewe unaweza kumlinagnisha Gaddafi na nani,,,. Wangeacha wananchi wamtoe wenyewe sio NATO. Sisi wabongo nadhani bado sana kwenye analysis. Hivi wewe ukigomabana na mkeo/mmeo basi msuluhishi aje na kubomoa vioo na kuchoma magari eti wewe unamnyanyasa mmeo/mkeo. <br />
<br />
Sasa ukiacha fikra za kutatuliwa migogoro basi hizo rasilimali katu hutatafaidi na kama utaendelea na mtizamo eti western wanawatoa viongozi wabove umekwisha no way smart guys kama wazungu wakusaidie for free. <br />
<br />
Nchi hii inaliwa na wachache kwa sababu wengi hatuwezi kufikiri sawasawa. mabadiliko libya yalitakiwa lakini si kwa shinikizo la western na kwa nini hawasemi system iliyopo ni mbovu bali gadaffi ni mbaya. So the strength of Gaddafi is threat to western. UKOLONI HUO Thing big.
<br />
<br />

Punguza jaziba ndugu, andika taaaaraaatiiibu ueleweke. Haya unamlilia kadafi, huyo kwisha khabari yake yakhee, kuna moja tu kati ya haya litakalompata

1. Kufa kwa risasi za waasi
2. Kujiua kwa aibu
3. Kuikimbia nchi na kuishi ughaibuni (sijui tanzania ama kokote atakapopata wa kumhurumia)
4. Kwa baba ocampo kule akapige story na kina mladic na bemba
 
viva to all freedom fighters of lib7a! and my condolence to all families who lost their relatives for acqiring these great changes!
 
<br />
<br />

Post zako zoooooote hua sielewi unaandika nini, ni ngumu sana kujua hoja yako ya msingi. Afu hata consistency huna duh
Nyie na wapumbavu wengine ndo miliosababisha hata chadema yenu isishinde.Wapumbavu kweli hamna hoja.Hata kama Usalama wa Taifa wanatembelea humu.Hatutaki wapate sababu.Miaka ya hivi karibuni nyie washenzi ndo mmekuja na majina kama Mkweree nk.Na kuleta matusi bila hoja.Everything mnataja kabila la mtu.Hoovyo!Sasa Libya si tribalism war?
On the other hand,mtu akitembelea humu na kusoma maandshi yenu si atasema nyie ni wakabila?Huwezi kuelewa hoja we kichwa panzi wa shule ya kata.
 
<br />
<br />

Punguza jaziba ndugu, andika taaaaraaatiiibu ueleweke. Haya unamlilia kadafi, huyo kwisha khabari yake yakhee, kuna moja tu kati ya haya litakalompata

1. Kufa kwa risasi za waasi
2. Kujiua kwa aibu
3. Kuikimbia nchi na kuishi ughaibuni (sijui tanzania ama kokote atakapopata wa kumhurumia)
4. Kwa baba ocampo kule akapige story na kina mladic na bemba

5. Kujificha kwenye shimo kama Sadaam Hussein
 
Ni pigo vile vile kwa Taasisi za Afrika kama Africa Unity, Pan African Postal Union (PAPU) na zinginezo kwani Libya ilikuwa mlipaji mzuri wa michango kwa jumuiya hizo.
 
jmushi1

Nafikiri huwajui wazungu ukiona wanakuchekea usifikiri wanakupenda wanataka dhahabu yako wanataka mafuta yako and not your good white teeth. Unajua kuwa Saadam alikuwa rafiki mkubwa wa US, una habari Mubarack wa Misri alikuwa allied wa NATO, una habari Gaddafi alisaidia kutoa mafuka wakati wa vita vya Irak na kusaidia kwenye WMD. Usicheze na western countries nyie wauzieni dhahabu kwa kujidanganya eti hawatawafanya kitu muulizeni Savimbi wa Namibia walimfanyje au Mugabe walivyomgeuka, Samwel Doe mifano ipo mingi sana.
Feedback,ulichoandika hapo kina tofauti gani na kile nilichosema wakati najenga hoja yangu?Nani kasema nawapenda hao magaidi wa NATO ama kuwa ninafikiria wanatupenda?Nisome again.

BTW thats exactly what i was saying.Kwamba hawatupendi kihivyo.Walisema sababu ni wananchi wa Libya wasiuwawe ndiyo maana wameenda huko.Jaribuni na nyie mwone kama mkiuwawa watakuja kuwalinda.Maslahi yao yako zaidi kwa viongozi wenye kuwatumikia na hizo rasimali.thats what i said.Haijalishi kama kiongozi ni dictator ama la,kinachojalisha ni kama wanafanya nao biashara isiyolinufaisha taifa lengwa.Interests zao kwanza.
U get it?
 
I am not sure what are you talking about, by the way unafuatilia mapambano ya watanzania na hii serikali ya kikwete? Unajua wazi hakuna anayeleta ukabila katika efforts za kubadili inchi yetu? Umepata wapi hii issue? Watanzania wanapigania freedom from ccm, justice for all and democracy.

Kiongozi wetu anaitwa 'liberty' Go back and read your books kama unafanya hii topic ni paper ya class ...
Ninakuhakikshia kuwa mkiingia kwenye vurugu kama za Libya,bottomline yake itaishia kama ya Libya ama even worse kutokana na wengi wenu msivyokuwa na busara.Chuki zenye kuingiza kabila zinaharibu.Same thing went on in Libya.Na ndivyo ninavyofanya humu hata kama mna pointi hakuna haja ya kusema huyu mkweree hivi ama vile.Ukweli wa mambo ni kwamba hata huko Libya vita ni ya kikabila.Fuatilia kwa makini usiwe brainwashed na hizo media zao.

Ni mara kumi mumwite fisadi kuliko hilo jina la kikabila wakati mnapanga hoja za kumwondoa.Kwasababu hata anayekuja kusoma humu ata conclude kwamba maybe huyu hawampendi simply kwasababu ni kabila flani.hilo likitokea kuna ambao hawatapenda hata kama ni kweli kuwa ni mafisadi.
Wengo humu wanai cost mission ya ukombozi wa Taifa letu.Especially hawa vijana wa juzi juzi humu ambao wameingia kama mchwa lakini akili zao matakoni.
 
Nyie na wapumbavu wengine ndo miliosababisha hata chadema yenu isishinde.Wapumbavu kweli hamna hoja.Hata kama Usalama wa Taifa wanatembelea humu.Hatutaki wapate sababu.Miaka ya hivi karibuni nyie washenzi ndo mmekuja na majina kama Mkweree nk.Na kuleta matusi bila hoja.Everything mnataja kabila la mtu.Hoovyo!Sasa Libya si tribalism war?
On the other hand,mtu akitembelea humu na kusoma maandshi yenu si atasema nyie ni wakabila?Huwezi kuelewa hoja we kichwa panzi wa shule ya kata.
Kwenye bold(black) sina haja ya kuchangia coz unajieleza mwenyewe,
kwenye red..kumbe unaandika kuwa utamtetea Kikwete si kwa mazuri yake anayofanya bali ni kwa kuogopa usalama wa taifa basi hufai kabisa kuwa front line. Wengine tunaliita beleshi kwa jila lake si kijiko kikubwa kama Kikwete na kina Museven na Mugabe ni wababe tunawasema kwa sifa zao za udikteta na si vinginevyo, lakini sioni ajabu kwa woga wako sababu hata leo nimeona pro-Gaddafi bado wanamwita Gaddafi mtukufu na kumwinamia wanasema watafia kwenye kidonda kama nzi.
 
Back
Top Bottom