Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Jamaangu mmoja ana mchumbake ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4.
Mna mshaurije huyu jamaa na mchumbake?
Mna mshaurije huyu jamaa na mchumbake?