kibhopile
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 1,505
- 753
- Thread starter
- #21
Anakasirikia mpaka mechi ya kwenye TV??
She is got issues. Ongea nae umuulize tatizo lake ni nini haswa...yawezekana anapenda uhuru wake ila hapendi na wewe uwe huru..au hapendi marafiki zako na hiyo ya mechi ni kisingizio tu...au anahisi ni zaidi ya mechi ndo hua inakufurahisha.
Nyooshaneni mapema usije ukawa kama yule anaelalamika mume hatoi pesa ya matumizi wakati hata wakati wa uchumba alikua hivyo hivyo na akaolewa nae.
hi I imekaa vizuri nimeichukua thanks.