kibhopile
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 1,505
- 753
Asalaam Aleykum!
Hope mu wazima ndugu zangu. Naomba tushirikine kwa hili. hivi ninapokuwa na furaha yani nacheka cheka siku nzima basi mchumba wangu anakuwa yupo suspicious na anaweza anihoji kwamba mbona Leo uko so happy eeeh?
Mara kibao ananambia anataka kutoka na rafiki zake yani only girls nasema fine we nenda but just make sure u deserve urself out there, basi inakuwa fresh anarudi yuko happy na ananipa story zote huko ilikuwaje lets say kama walienda movie atataka kukuhadithia n u must concentrate hat a kama una usingizi, bt just kuonesha how happy she is.
Lakini Mimi sasa kama nikiomba sometimes kutoka na washkaji zangu na nikirudi tu niko happy basi lazima ataninunia, mbaya zaidi kama akijua source ya hiyo happyness Yangu kwamba ni football match na chelsea ndo iliyoshinda aiseee hadi kesho ukimwambia vipi Leo hatupiki utasikia mwambie "mwambie drogba akupikie"
Basi inakuwa msala inabidi ukitoka na washkj ukirudi furaha zote unaacha mlangoni. ngoja niulize hivi wadada huwa mnapenda nyie tu ndo mtufanye sisi happy??
Hope mu wazima ndugu zangu. Naomba tushirikine kwa hili. hivi ninapokuwa na furaha yani nacheka cheka siku nzima basi mchumba wangu anakuwa yupo suspicious na anaweza anihoji kwamba mbona Leo uko so happy eeeh?
Mara kibao ananambia anataka kutoka na rafiki zake yani only girls nasema fine we nenda but just make sure u deserve urself out there, basi inakuwa fresh anarudi yuko happy na ananipa story zote huko ilikuwaje lets say kama walienda movie atataka kukuhadithia n u must concentrate hat a kama una usingizi, bt just kuonesha how happy she is.
Lakini Mimi sasa kama nikiomba sometimes kutoka na washkaji zangu na nikirudi tu niko happy basi lazima ataninunia, mbaya zaidi kama akijua source ya hiyo happyness Yangu kwamba ni football match na chelsea ndo iliyoshinda aiseee hadi kesho ukimwambia vipi Leo hatupiki utasikia mwambie "mwambie drogba akupikie"
Basi inakuwa msala inabidi ukitoka na washkj ukirudi furaha zote unaacha mlangoni. ngoja niulize hivi wadada huwa mnapenda nyie tu ndo mtufanye sisi happy??