Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
pole sana sweetdada...if your name reflects anything real about you, I wonder what hapenned to your man. Lakini kikubwa ni ulimbukeni wake tu...kama pia kwa upande wako hakuna unachofanya kikambore maana hapa ni story ya upande mmoja
La muhimu usilazimishe ndoa maana hiyo si ya kila mtu na wala sio chakula useme kila mtu anahitaji kula. Tulia, na tumia mbinu za kumfanya akumiss na hata akilalamika endelea kumuignore uone atafanyaje......atarudi mwenyewe tu....
pole tena some of us men tunabehave kama watoto vile
La muhimu usilazimishe ndoa maana hiyo si ya kila mtu na wala sio chakula useme kila mtu anahitaji kula. Tulia, na tumia mbinu za kumfanya akumiss na hata akilalamika endelea kumuignore uone atafanyaje......atarudi mwenyewe tu....
pole tena some of us men tunabehave kama watoto vile