Anajifanya bab kubwa nimfanyeje...?

amenipita 4 years.tumeanza relationship when i was 25.he had nothing hata elimu yake ilikuwa ya wastani, now he has masters degree he has a good job that he gets to meet lots of people.wanawake wanamuona unlike mwanzo so he thinks he is everything,ndo anaanza kunicompare mpaka mavazi,like mbona yule kavaa vile or ungevaa kama vile...nimemkalisha chini but to no avail..he claims he loves me lakini hanionyeshi..he is very good kwenye kuniongelea vizuri kwa marafiki au tukiwa in public he'll do everything ajulikane am his...

mwanamke akishapita miaka 30 kwa dunia ya leo kuolewa na kijana mwenzake inakuwa ni issue hapo lazima uataangukia kwa kibabu kilichofiwa na mke wake au aliyeachana na mke wake. mara nyingi hii ipo pande zote za jinsia mtu mnaeanza nae maisha yeye akija kuadvance anakuja kukuona wewe si lolote kwake hanakuwa amekutana na new kampani. any way Lady there is nothing important thing than to be alive, so much trouble in the world and no body who feel your pain. life goes on.
 
Asante mpendwa!Yani wanataka kumkosesha dada wa watu raha!

hapa kuna watu wanavaa uhucka wa ujaji,uhakimu,upolisi,upasta etc,hao hupenda kuhoj than kuchangia!what i knw dada anahtaj ushauri,though amezaa b4 ndoa,
 
Nimewasikia woote na maoni na ushauri tofauti nashukuruni sana.Michango yenu inanisaidia kuchanganua what to do.

Klorokwini bado nasubiri kukusikia.
 
Nimewasikia woote na maoni na ushauri tofauti nashukuruni sana.Michango yenu inanisaidia kuchanganua what to do.

Klorokwini bado nasubiri kukusikia.
usjali, vuta subira. mimi siku zote nakuwa nasubiria watu wamwage mahasira yao halaf ndio naweka konklushen. yaani worry not. consider your problem solved
 
Tatizo letu wasichana ni kutofanya maamuzi na kuyasimamia...kila siku anakupa sababu za kutokuoa na wewe unamsikiliza.....my dear,muweke chini mwambie you are ready to move on....anaona kama kuwa na mtoto kutakufanya uwe nae no matter what,he he he ......let me swear to you yupo mwanaume atakupenda,kukuheshimu na kukuthamini kama ulivyo na pale ulipopungukiwa atakuweka sawa na si kukulinganisha na kukuambia uko kwa competition.....he does not worth you.....take a big decision.....keep a distance from him,if he does not learn or discover how much you worth....he does not deserve you....muache aende zake....umemuonyesha ye ni kila kitu and he is taking advantage of that....em imagine...akifa we hutaishi? haya kasema leo kakuacha na mwanao,utamfunga kamba?let him go and move on with your life before its late....he is emotionally abusing you by comparing you with others....ujione we si kitu....muonyeshe we ni kitu...be proud of yourself....all the best,blessings!
Michelle ni wewe au naota maneno hya mzto kweli yanahtaj moyo wa chuma.
 
inaniuma na kuniogopesha sana?
Bora ule kona mapema, mpano uwe hivi:
1.Mzushie jambo baya sana kwa shoga yako wa ukweli (huyu atakupa moyo hata kama wewe ndio tatizo)
2.Kamtibue makusudi ili akuwakie na ikibidi atukane theni kula kona kabisa.(ukitimliwa ni vigumu kurudi kuliko kujiondokea mwenyewe)
3.Jiapize hutapokea simu yake na wala hutampigia (ukiweza hili hapo umeshamwacha)

UKIENDELEA KUKAA NAYE HUYO NI SAWA NA KUAHIRISHA MSIBA KAMA KUFA MTU KESHA KUFA.

Marytina ushauri wako unamaanisha kweli au sijaulelewa? Mbona mdada anaonekana hana matabia ya kishari, jamani kuachana sio mpaka mgombane, we mshauri aquit tu, kumbuka yule ni baba wa mtoto wake panga pangua uhusiano utaendelea kuwepo tena wa kudumu. Ningekuwa mimi mshauriwa, huu wako nisingeubeba!
 
wanaume wengine ni viatu kwakweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
that's michelle i told you!!
 
lizy ulitaka kubadili jina lakini mmmmmmmhhh!! kuwa makini best kama mambo yenyewe ndio hivi!!!!!!
 
Klorokwini uko wapi? nasubiri konklushen. nimeshaanza kuimplement some of the good advise given in here..bado wewe tu.
 
Inabidi ufanye kitu ili ajue kama hupendi anavyokwambia,yooote yanavumilika lakini la kulinganishwa huwa linachoma kama mkuki, sasa basi kuna vitu hata mimi nilivitumia vikasaidia, kwa mfano mpo dinner akasema hapa ungevaa kama fulani mpe maneno yake kwa ukali then inuka toka nje chukua taxi nenda nyumbani atakuja mtaongea then unafikiri next time atarudia?hawezi atajua utafanya kama ulivofanya the other time

Kuhusu ndoa mradi umezaa kuna vitu vingi sana unaweza kufanya ili akuoe nikipata muda nitakupm halafu nikufundishe namna ya kumfanya mwanamme akuoe ingawa wengine wanapenda itokee naturally lakini wengine inabidi wabanwe kwenye corner tu,ila sijajua kama mnaishi wote nyumba moja? kama mnaishi hizi mbinu huwa hazifanyi kazi sana.
 
Inabidi ufanye kitu ili ajue kama hupendi anavyokwambia,yooote yanavumilika lakini la kulinganishwa huwa linachoma kama mkuki, sasa basi kuna vitu hata mimi nilivitumia vikasaidia, kwa mfano mpo dinner akasema hapa ungevaa kama fulani mpe maneno yake kwa ukali then inuka toka nje chukua taxi nenda nyumbani atakuja mtaongea then unafikiri next time atarudia?hawezi atajua utafanya kama ulivofanya the other time

Kuhusu ndoa mradi umezaa kuna vitu vingi sana unaweza kufanya ili akuoe nikipata muda nitakupm halafu nikufundishe namna ya kumfanya mwanamme akuoe ingawa wengine wanapenda itokee naturally lakini wengine inabidi wabanwe kwenye corner tu,ila sijajua kama mnaishi wote nyumba moja? kama mnaishi hizi mbinu huwa hazifanyi kazi sana.

hatuishi nyumba moja so i think mbinu utakazonipa zitawork..thnx
 
hatuishi nyumba moja so i think mbinu utakazonipa zitawork..thnx

Mmh ndoa ya kulazimisha unataka??Siku akikuchoka..!Nwyz ngoja niache umbea..go ahead mwaya jipe kile roho inataka ila roho yake ikiwa inataka pia ndo raha inaongezeka kwasababu unajua he is there because he wants to not because you forced him!
 
Inabidi ufanye kitu ili ajue kama hupendi anavyokwambia,yooote yanavumilika lakini la kulinganishwa huwa linachoma kama mkuki, sasa basi kuna vitu hata mimi nilivitumia vikasaidia, kwa mfano mpo dinner akasema hapa ungevaa kama fulani mpe maneno yake kwa ukali then inuka toka nje chukua taxi nenda nyumbani atakuja mtaongea then unafikiri next time atarudia?hawezi atajua utafanya kama ulivofanya the other time

Kuhusu ndoa mradi umezaa kuna vitu vingi sana unaweza kufanya ili akuoe nikipata muda nitakupm halafu nikufundishe namna ya kumfanya mwanamme akuoe ingawa wengine wanapenda itokee naturally lakini wengine inabidi wabanwe kwenye corner tu,ila sijajua kama mnaishi wote nyumba moja? kama mnaishi hizi mbinu huwa hazifanyi kazi sana.

hamna kitu kama hicho gaga ,sorry lkn kwa upande wangu naona haiwezekani na ikiwezekana haitakuwa endelevu.
 
Mmh ndoa ya kulazimisha unataka??Siku akikuchoka..!Nwyz ngoja niache umbea..go ahead mwaya jipe kile roho inataka ila roho yake ikiwa inataka pia ndo raha inaongezeka kwasababu unajua he is there because he wants to not because you forced him!

Lizzy sihitaji kulazimisha ndo mana muda wote huo nimekuwa patient..i just want to hear wat the lady has to say nione ni mbinu gani hizo zinatumika na wadadaa!!!..am actually not very good at forcing things, i believe in 'letting nature take its course'..
 
usjali, vuta subira. mimi siku zote nakuwa nasubiria watu wamwage mahasira yao halaf ndio naweka konklushen. yaani worry not. consider your problem solved

Wewe kiboko aiseee....yaani unampa moyo kabisa au sio???duuu na mimi nataka nione huo ushauri wako mkuu.....
 
Marytina ushauri wako unamaanisha kweli au sijaulelewa? Mbona mdada anaonekana hana matabia ya kishari, jamani kuachana sio mpaka mgombane, we mshauri aquit tu, kumbuka yule ni baba wa mtoto wake panga pangua uhusiano utaendelea kuwepo tena wa kudumu. Ningekuwa mimi mshauriwa, huu wako nisingeubeba!
huyo dada anatafuta namna ya kuachana na huyo jamaa sasa solution ni timbwili tu ili ujue kimoja.Kama sivyo atageuzwa nyumba ndogo na wako wengi wa dezain hii.
 
Back
Top Bottom