Rafk yangu kabanwa na kifua anashindwa kupumua, anasema kifua kinawaka moto yupo hoi analalamika kifua! kifua! na pumzi inambana.
Nipo alone home,duka la dawa hakuna, nimsaidieje kwa huduma ya kwanza kabla kesho sijampeleka hosptal?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.