Anahitajika mwalimu wa masomo haya

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,958
7,512
Kama una fani ama una jamaa yeyote mwenye fani ya ualimu katika masomo ya B.Maths&Physics(A-Level) basi tuwasiliane ama kwa kunipm ama katika simu no 0717522175

Maelezo mafupi ya kazi ni kama ifuatavyo;
Awe na uzoefu atleast wa miaka 5 ama kidogo mtu mzima,sehemu ya kufanyia kazi ni Bukoba,Kagera

Kama uko katika nafasi ya kuhitaji basi tuwasiliane haraka iwezekanavyo
 
Back
Top Bottom