Anahitajika mtu wa bima mwenye sifa zifuatazo

MASABURI

Member
Dec 30, 2011
79
19
KAMPUNI YA UWAKALA WA BIMA:
48afd35d44b48ffc9c459455da11958c.jpg


Mahali tulipo: Morogoro mjini karibu na stendi kuu ya mabasi msamvu, njia iendayo Dodoma.

Nafasi : 2
Vigezo vya elimu/taaluma: kidato cha 4 / 6, awe na cheti cha bima (certificate of insurance) kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali pamoja na tira.
Ujuzi wa masoko (marketing ) utamuongezea uhakika wa kazi.

Uzoefu : Awe amewahi kufanya kazi na kampuni zingine za uwakala wa bima popote nchini kwa muda usiopungua miezi 6 na kuendelea.
Aweze kufanya kazi katika mazingira yoyote.

Mahali: ofisi zetu ziko Morogoro kwahiyo awe tayari kuishi na kufanya kazi Morogoro, itapendeza zaidi kama wahusika watakuwa ni wakazi wa Morogoro.

Kazi za kufanya: Kuaandaa taarifa ya kazi ya kila siku, kuaandaa taarifa ya kila mwezi (mapato ya bima tulizokata) kwa ajili ya kuwasilisha kwa kampuni tunayoifanyia uwakala, kutafuta wateja wa bima wapya na kuwakatia bima ( wateja wasiopungua 5 iwe bima ndogo au kubwa kila siku), kazi zingine kadri zitakavyojitokeza / kupangiwa na mkuu wako wa kazi.

Mshahara : 150,000/= kwa mwezi ( posho ya nauli 50,0000/=) jumla 200,000/=.

Masharti ya kazi:
Aweze/ kuhakikisha unaweza kukata bima kwa wateja wasiopungua watano kwa siku.

Mawasiliano / anuani ya posta:
Masaburi daughter's & sons insurance agency,
Box 2319,
Morogoro
+255784549114
+255767549114.
Nb:
Barua zitumwe kupitia posta , kuwe na picha 2 za sasa pps , cv yako, viambatanisho vya vyeti na ushuhuda (testimonials ).
 
KAMPUNI YA UWAKALA WA BIMA:
48afd35d44b48ffc9c459455da11958c.jpg


MAHALI TULIPO: MOROGORO MJINI KARIBU NA STENDI KUU YA MABASI MSAMVU, NJIA IENDAYO DODOMA.

NAFASI : 2
VIGEZO VYA ELIMU/TAALUMA: KIDATO CHA 4 / 6, AWE NA CHETI CHA BIMA (CERTIFICATE OF INSURANCE) KUTOKA CHUO KINACHOTAMBULIWA NA SERIKALI PAMOJA NA TIRA.
U JUZI WA MASOKO (MARKETING ) UTAMUONGEZEA UHAKIKA WA KAZI.

UZOEFU : AWE AMEWAHI KUFANYA KAZI NA KAMPUNI ZINGINE ZA UWAKALA WA BIMA POPOTE NCHI I KWA MUDA USIOPUNGUA MIEZI 6 NA KUENDELEA.
AWEZE KUFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA YOYOTE.

MAHALI: OFISI ZETU ZIKO MOROGORO KWAHIYO AWE TAYARI KUISHI NA KUFANYA KAZI MOROGORO, ITAPENDEZA ZAIDI KAMA WAHUSIKA WATAKUWA NI WAKAZI WA MOROGORO.

KAZI ZA KUFANYA: KUAANDAA TAARIFA YA KAZI YA KILA SIKU, KUAANDAA TAARIFA YA KILA MWEZI (MAPATO YA BIMA TULIZOKATA) KWA AJILI YA KUWASILISHA KWA KAMPUNI TUNAYOIFANYIA UWAKALA, KUTAFUTA WATEJA WA BIMA WAPYA NA KUWAKATIA BIMA ( WATEJA WASIOPUNGUA 5 IWE BIMA NDOGO AU KUBWA KILA SIKU), KAZI ZINGINE KADRI ZITAKAVYOJITOKEZA / KUPANGIWA NA MKUU WAKO WA KAZI.

MSHAHARA : 150,000/= KWA MWEZI ( POSHO YA NAULI 50,0000/=) JUMLA 200,000/=.

MASHARTI YA KAZI:
AWEZE/ KUHAKIKISHA UNAWEZA KUKATA BIMA KWA WATEJA WASIOPUNGUA WATANO KWA SIKU.

MAWASILIANO / ANUANI YA POSTA:
MASABURI DAUGHTER'S & SONS INSURANCE AGENCY,
BOX 2319,
MOROGORO
+255784549114
+255767549114.
NB:
BARUA ZITUMWE KUPITIA POSTA , KUWE NA PICHA 2 ZA SASA PPS , CV YAKO, VIAMBATANISHO VYA VYETI NA USHUHUDA (TESTIMONIALS ).
Mkuu laki mbili mbona kiduchu sana, mie hiyo hela ndio mshahara Wa hausegirl wangu.
 
ni MASABURI huyu huyu au mwingine, staki kufaya kazi kama ni asaburi huyu msanii aliyepigwa chini ubunge na mbunge aliyepigwa na majizi pale DSM kubenea.
 
ni MASABURI huyu huyu au mwingine, staki kufaya kazi kama ni asaburi huyu msanii aliyepigwa chini ubunge na mbunge aliyepigwa na majizi pale DSM kubenea.
POLE SANA KAKA, ILA PUNGUZA JAZIBA NA MIHEMKO YA KISIASA.
KWHY UNADHANI MASABURI YUKO MMOJA TUU!!?
KAMA UNASIFA NA UNAKIDHI VIGEZO NJOO TUFANYE KAZI KAMA VIJANA KUJENGA MAISHA YETU YA SASA NA YAJAYO.
HAPA KWANGU HAKUNA SIASA KAKA MKUBWA
 
WAKUU DEADLINE NI KESHO, KAMA HUKUONA NA UMEONA SAIVI NAOMBA NIKUKUMBUSHE MWISHO KESHO NA BAADA YA ZOEZI LA USAILI LITACHUKUA NAFASI KWA BARUA TUTAKAZOKUWA TUMEPATA.
ASANTENI
 
we mwenye kampuni nikushauri picha walete ukiwaajiri! mtu hana kaz unamuongezea cost afu unakuta kazi yenywe umeshaandaa watu wako! be fair au ndo kigezo chakutafutia warembo maana hamkawii nyie.
 
we mwenye kampuni nikushauri picha walete ukiwaajiri! mtu hana kaz unamuongezea cost afu unakuta kazi yenywe umeshaandaa watu wako! be fair au ndo kigezo chakutafutia warembo maana hamkawii nyie.
DUUUH KAKA MKUBWA POLE SANA, MAANA AKILI YAKO NA UPEO WAKO NDIO UMEFIKIA HAPA AU NIAJE! !?
WAKATI MWINGINE JARIBU KUFIKIRI NJE YA BOKSI AU KWA UPANDE WA TATU MKUU WANGU.
ILA ANYWAY, KUNA KAZI GANI AMBAYO HAWAHITAJI RECENTLY PASSPORT SIZE! !?
 
Mshahara wa msaidizi wa kazi za nyumbani..tena amedai kuongezewa!!
 
Back
Top Bottom