Wadau, anahitajika msichana wa kusimamia Stationey Sakina Arusha
Sifa za Msichana
1. Awe mkazi wa Maeneo ya Sakina au Majengo (kuepuka usumbufu wa kuchelewa kazini, nauli za kila siku n.k
2. Awe na uelewa mzuri wa Ms Office Version Zote, zaidi sana Ms Publisher
3. Awe anajua Photoshop
4. Awe na Typing Speed nzuri
5. Awe mchangamfu na mwenye lugha nzuri ..
Kwa wanaotaka kazi hii, nitumie PM yenye namba ya simu ili niipeleke kwa wahusika
Sifa za Msichana
1. Awe mkazi wa Maeneo ya Sakina au Majengo (kuepuka usumbufu wa kuchelewa kazini, nauli za kila siku n.k
2. Awe na uelewa mzuri wa Ms Office Version Zote, zaidi sana Ms Publisher
3. Awe anajua Photoshop
4. Awe na Typing Speed nzuri
5. Awe mchangamfu na mwenye lugha nzuri ..
Kwa wanaotaka kazi hii, nitumie PM yenye namba ya simu ili niipeleke kwa wahusika