Sio mbaya kumfahamu ni Nani huyu.Aliye nielewa atanisaidia.Ni mtoto au mdogo wake.Bahati mbaya sina picha yake.Nimemwona naye yupo arumeru kwenye mapambano
Sio mbaya kumfahamu ni Nani huyu.Aliye nielewa atanisaidia.Ni mtoto au mdogo wake.Bahati mbaya sina picha yake.Nimemwona naye yupo arumeru kwenye mapambano
Ni kweli mbowe anafanana na katibu wa bavicha anayeitwa deogratius munishi, hata miwani wanavaa wote mpaka kuongea wanafanana but hawana undugu wowote.
Mkuu mimi mwenyewe huwa nawaona wanafanana!!Nashukuru sana mkuu huyu kamanda amefanana sana na mwenyekiti mbowe.Ubarikiwe sana.Naona kuna mijitu mingine imekuja na dhana mbovu yamemwaga mapovu wee Hata hayajui ninacho maanisha.
fatilia viti maalum walivyogawana.Chadema haina undugu wala hawaridhishiani ubunge.
Chadema haina undugu wala hawaridhishiani ubunge.
cdm sio chama cha familia kama ccm!jk,riz1 masalma wote kwenye kampeni
Hajakosea , ana maana CHADEMA huwa wanaridhishana , sasa sijui wanajigawa vipi ili kuridhishana, teh teh teh teh.Kiswahili ni kigumu kuliko nnavofikiria, ndio nini hicho? nimetafuta kwenye kamusi sijaliona hilo neno, naomba unisaidie kulifafanua.
fatilia viti maalum walivyogawana.