Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Jamani namsikia mama kiilango aka mama king's analia kweli kwenye clouds
anasema kuna kikundi cha mahoteli kikiongozwa na serena hotel kimekaa
na kupinga kodi ya tuzo ya doller 60 badala ya kumi kama walivyozoeshwa na
mawaziri mafisadi...inatia aibu sana sana mama anasema kuna mianya mingi na sasa
amesema lazima hii tuizibe mapema..awawezi kutoza na kupata doller 800-1000 waje kutupa doller 10 kwa kitanda hawana adabu kabisa mama anasema kwanza ana uhakika wapo watanzania wanaweza kusimamia mahoteli haya kabisa
na kama wameshindwa waondoke zao hawana adabu kabisa hawa...anasema inaumiza sana sana na ajui hizi sheria
nani anawalinda hawa wahuni wasitoe hela zetu akasema loliondo kuna watu wanakufa awana usafir wala ambulance
lakin wanachukua hela nyingi sana sana na mbaya zaidi wanazipeleka kwao awafanyi la maana hapa kwetu useme hela zinarudi hapa hapa
big up mama
anasema kuna kikundi cha mahoteli kikiongozwa na serena hotel kimekaa
na kupinga kodi ya tuzo ya doller 60 badala ya kumi kama walivyozoeshwa na
mawaziri mafisadi...inatia aibu sana sana mama anasema kuna mianya mingi na sasa
amesema lazima hii tuizibe mapema..awawezi kutoza na kupata doller 800-1000 waje kutupa doller 10 kwa kitanda hawana adabu kabisa mama anasema kwanza ana uhakika wapo watanzania wanaweza kusimamia mahoteli haya kabisa
na kama wameshindwa waondoke zao hawana adabu kabisa hawa...anasema inaumiza sana sana na ajui hizi sheria
nani anawalinda hawa wahuni wasitoe hela zetu akasema loliondo kuna watu wanakufa awana usafir wala ambulance
lakin wanachukua hela nyingi sana sana na mbaya zaidi wanazipeleka kwao awafanyi la maana hapa kwetu useme hela zinarudi hapa hapa
big up mama