wende
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 714
- 65
Hivi kuna mrembo hapo!
Aiseee,ata mi nashangaa,,,,,,,,,hao ni wakongwe kwelikweli...
Hivi kuna mrembo hapo!
Wananiudhi mikorogo :shetani:
Sio bonita wala nini,wa kawaida tuHuyo hapo juu mwenye nywele kama amepigwa shoti ya umeme ndio tena huyu hapa chini kavaa "hawa mke wa adam"?
Mzee Majuta husema hivi IN'YE
(Picha kwa hisani ya Mchonga)
Naomba anawajua hawa warembo wa Bongo atupe majina yao