babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
Hili ndilo eneo kama linavyo onekana ambapo mtu huyo anae jiita muwekezaji amevamia na kujenga
Uzio ambao umewekwa na anae jiita muwekezaji Ndugu Msaki
Baadhi ya Majengo yake
Hapa ni uzio huo unao onekana kwa ukaribu ambapo watoto walikua wakicheza hapo na sasa imebaki kuwa Historia
Mafundi wakiendelea na ujenzi katika eneo hilo ambapo kimsingi ni eneo la watoto kucheza
Wakiwa wanaendelea Kuporomosha majengo eneo hilo ambalo si la ujenzi
Pichani si sehemu ya ramani, ya kitalu namba 4 aliyo na usajili na 38383, E' 353/107 toleo la tarehe 24/05/2004 inayoonyesha kuwa kiwanja no 30 ni eneo la wazi.
Eneo la mivumoni limekubwa na wawekezi katika maeneo ya wazi, Pichani ni kiwanja na 30 chilichopo kitalu namba 4,kikiwa kimezungushiwa uzio na mwekezaji aliyejulikana kwa jina moja la Msaki. Wakazi ya maeneo halo walifanya usafi wa eneo ili kuwawezesha watoto kucheza mpira wa miguu ndipo mwekezaji huyo alipojitokeza akajenga uzio. Kwa mujibu wa meelezo yake yeye ni mmiliki halali wa eneo hilo.
CHANZO: Mbeya Yetu: Breaking News: Anaejiita muwekezaji Msaki avamia na Kujenga eneo la wazi la kucheza watoto Mivumoni