BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Sie binadamu kwa kupenda tusikopendwa aarrghh
Waambie haou two are perfect match, mnafaana kwa kuwa wote ni vicheche but honestly hizi sio zama za kuwa vicheche, nyote wawili mnahitaji kuchange na kuacha mambo ya ajabu la sivyo mwisho wenu ni mbaya sana
Acha umalaya na ukicheche bro!! Si ujanja huoHello jf!ebana,yan me kati ya wasichana wangu wote nlio na uhusiano nao,anae nichanganya zaidi ni kicheche,yani huyu hata 2kiznguana kidogo bac me nitajishusha yaishe,huyu ndo nina hisia nae,huyu ndo nahc kumpenda kwa dhati.tatzo liko sehem moja,ye anagawa pembeni na me ninagawa vile vile!!je,2naweza 2kafanya ki2 flani ambacho kinaweza kubadili uhusiano we2 ukawa ni wenye maana zaidi kuliko ulivyo sasa??