Anae nidrive craizy ni kicheche.

Wewe unatumia energy nyingi nje na unapokutana naye una less feeling kwake kitu kinachofanya usishughulike ipasavyo kwake ila anakudrive sana,chamsingi jaribu kutulia naye kwa muda na ujaribu kumteka kihisia na kivitenda na usimpe nafasi ya kupata huduma kwa vicheche wenzake then ukifanikiwa hilo na ukirizika naye mpe mimba,utafaidi sana mapenzi yake.
 
u two are perfect match, mnafaana kwa kuwa wote ni vicheche but honestly hizi sio zama za kuwa vicheche, nyote wawili mnahitaji kuchange na kuacha mambo ya ajabu la sivyo mwisho wenu ni mbaya sana
 
u two are perfect match, mnafaana kwa kuwa wote ni vicheche but honestly hizi sio zama za kuwa vicheche, nyote wawili mnahitaji kuchange na kuacha mambo ya ajabu la sivyo mwisho wenu ni mbaya sana
Waambie hao
 
Hello jf!ebana,yan me kati ya wasichana wangu wote nlio na uhusiano nao,anae nichanganya zaidi ni kicheche,yani huyu hata 2kiznguana kidogo bac me nitajishusha yaishe,huyu ndo nina hisia nae,huyu ndo nahc kumpenda kwa dhati.tatzo liko sehem moja,ye anagawa pembeni na me ninagawa vile vile!!je,2naweza 2kafanya ki2 flani ambacho kinaweza kubadili uhusiano we2 ukawa ni wenye maana zaidi kuliko ulivyo sasa??
Acha umalaya na ukicheche bro!! Si ujanja huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom