Ndugu zangu wana jf naombeni ushauri wenu,may mwaka 2008 niliingia kwenye mahusiano na binti mmoja mkazi wa iringa,ila ilipofika june tarehe za kuanzia 20 alisafiri kwenda kwao iringa ambako alienda kukaa wiki mbili, baada ya kurudi ndani ya hizo wiki mbili nilipata tetesi kuwa ni mjamzito ila nilipomuuliza alikataa katakata kuwa hakuwa na mimba,mwezi wa nane aliamua kurudi kwao iringa na nilimkatia tiketi ya kurudi kwao mimi mwenyewe kwani aliniambia anataka akaishi na familia yake,
mwaka 2009 mwezi wa tatu tarehe kumi na moja nikapata taarifa kuwa amejifungua mtoto wa kiume,lakini hakuniambia mimi aliwambia ndugu wengine,
mwaka huo mwezi wa 11 nilienda iringa kumuona mtoto lakini huyu binti aliniambia mtoto si wangu ni wa jamaa aliyekuwa amemuoa,akanipa na picha ya huyo jamaa aliyemuoa kuwa niangalie na nilinganishe na mtoto lakini nilipoona masikio nikahisi mtoto si wangu,
ajabu jumapili ya wiki hii yule dada akanipigia simu kuwa mtunze mwanao usipoteze hele yako kwa malaya huku mwanao anahangaika,
nikamwambia mbona ulisema mtoto si wangu akasema ukweli anaujua yeye ,
jamani nifanyeje?
mwaka 2009 mwezi wa tatu tarehe kumi na moja nikapata taarifa kuwa amejifungua mtoto wa kiume,lakini hakuniambia mimi aliwambia ndugu wengine,
mwaka huo mwezi wa 11 nilienda iringa kumuona mtoto lakini huyu binti aliniambia mtoto si wangu ni wa jamaa aliyekuwa amemuoa,akanipa na picha ya huyo jamaa aliyemuoa kuwa niangalie na nilinganishe na mtoto lakini nilipoona masikio nikahisi mtoto si wangu,
ajabu jumapili ya wiki hii yule dada akanipigia simu kuwa mtunze mwanao usipoteze hele yako kwa malaya huku mwanao anahangaika,
nikamwambia mbona ulisema mtoto si wangu akasema ukweli anaujua yeye ,
jamani nifanyeje?