Ras wakambo
Member
- Nov 22, 2011
- 71
- 6
Wanajamii nisaidieniiiii kuna demu kazini kwetu nilizoeana naye kipindi ana matatizo ya mshahara na mwajiri wetu...nkampa baadhi ya huduma then nikahc kumpenda na kwa muda mrefu namtupia cku moja moja,anadai hana mtu mwingine na ananipenda lakini anamkumbuka sana mwanaume wake wa kwanza hadi anagckia vibaya japo waliachana