Kutokana na taarifa ya kupigwa marufuku kwa maandamano ya kupinga malipo ya Dowans ni kweli Kova anajua kutakuwa na vitisho vya shambulio la ki gaidi la Al Shabaab maana anawajua na anawapa ulinzi na kwa namna moja au nyingine, yuko kwenye payroll yao maana operations na fedha nyingi za Al Shabaab zinapitia hapa kwetu.
Na kuna mambo nachunguza na kujiridhisha nitakuja na habari inayowasha masikio kuhusu Nchi hii na mambo inayoyafanya mpaka jumuiya ya ki mataifa wameibwekea ndipo wakachukua hatua kuhusu mambo fulani ya ki usalama.
Zaidi sana hakuna Al Shabaab mwenye nia ya kuvuruga mechi ya Simba na Yanga bali maana ulinzi pale utawezekana na hata kama yatawekwa mabomu watayaona kuyategua na kujioshea jina lakini la kuwalinda wananchi wanaodai haki zao za ki msingi hawana ulinzi wa kuweza kuwapa na zaidi sana utaona watatumia gharama yoyote kuyadhibiti na hata kuwapiga mabomu ya machozi watakaoandamana ili tu kulinda unga wao lakini siyo usalama wetu.
Na kuna mambo nachunguza na kujiridhisha nitakuja na habari inayowasha masikio kuhusu Nchi hii na mambo inayoyafanya mpaka jumuiya ya ki mataifa wameibwekea ndipo wakachukua hatua kuhusu mambo fulani ya ki usalama.
Zaidi sana hakuna Al Shabaab mwenye nia ya kuvuruga mechi ya Simba na Yanga bali maana ulinzi pale utawezekana na hata kama yatawekwa mabomu watayaona kuyategua na kujioshea jina lakini la kuwalinda wananchi wanaodai haki zao za ki msingi hawana ulinzi wa kuweza kuwapa na zaidi sana utaona watatumia gharama yoyote kuyadhibiti na hata kuwapiga mabomu ya machozi watakaoandamana ili tu kulinda unga wao lakini siyo usalama wetu.