Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
- Thread starter
- #41
Dr slaa anainyanyasa sana ccm kiasi cha kuwafanya washindwe kuendesha nchi, Dr slaa watu wanakuamini sana kiasi cha kutaka uwe raisi hata sasa hivi, Dr slaa ccm wanakuogopa sana walijua usivyokuwa bungeni basi wangepumua, lakini imekuwa tofauti sana kwani bado vijana wa cdm wanawaendesha sana wan-ccm huko mjengoni, Dr slaa bado unawafata ccm huko huko vijijini na kuwahamishia chadema sio kwa kutumia nguvu bali maneno tu, Dr slaa safi sana Kamanda wa anga jana katuwezeshea shughuli ya m4c, Dr slaa tunakuamini tunakuhitaji
Yaani anachokifanya ni kuchomoa mpira wa oxygen kwa mgonjwa mahututi. Mi naona anahitajika kiongozi mmoja mwenye busara wa ccm amuite huyu mzee waongee kama wanaweza kusettle hii issue namna ingine, ama sivyo huku ni zaidi ya kuwajeruhi.