unasubiri nini?
She is making funny on me coz anajua nampenda. Cku nkidicidd kumdelete ndo atashangaa.
She is making funny on me coz anajua nampenda. Cku nkidicidd kumdelete ndo atashangaa.
EMT umeelewa ameandika nini mku
Nifafanulie basi maana nimetoka kapa hapo
upo single?mdelete fasta hata usimkawize wasichana wako kibao kwanini ujifie kwa uyo mmoja khaa!......me i dont read u at all
Anadai kuna msichana anamchezea kwa vile anajua jamaa amefika (anampenda). Labda anamzingua kumpa mzigo. So, jamaa anadai siku ambayo ataamua kumfuta kwenye moyo wake ndipo huyo msichana atashangaa.
Alichoshindwa kuandika ujumbe ukiwa umekamilika ni nini
Kuna watu hata wakiwa humu ndani wanafikiria ule uandishi wa sms na ndo maana kuna vimaneno kama hivyo vya dcd wanaandika hivyo hivyo
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi
Labda ndio maana huyo msichana anamchezea? Waweza kuta hata wakati anamtongoza anaongea hivyo hivyo.