nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
alianza kwa mkwara na wadau tulitabiri kuwa atazima tu,...kiko wapi??viwanja vya wazi kibao vimeporwa anajua na atafanya kitu,..hiyo ndio ccm,...nitavunja plaza....kigamboni hakuongea chochote cha maana na kuna kila dalili ya wananchi kupigwa mchanga wa macho...