kwani we ni shoga?
Nenda kwa mganga wa maruhani, tatizo litakuwa limekwisha...............Atakufuata mwenyewe...............LOL
bye bye dj!Nipen mbinu kama huna pliz nenda threads zingine.
Kwan we unataka kumtafuna tu thn usepe au unataka kuweka kambi?
Kama unataka ushauri wa kimapinduzi wafuate jamaa wa mali kule ndo wanayaweza mapinduzi,lakini ushauri wangu ishia hapohapo kumpenda tu ili umshinde shetani
Kamanda kama unampenda kweli na unajua fika alipo ana amani
na jamaa aliye nae wanapendana do not disturb. Kama kweli wampenda utramlinda.
Sawa unampenda una uhakika nae anakupenda kweli cse inawezekana kakwambia ivyo kuepuka usumbufu
bye bye dj!
kupinduliwa kawaida sana kwenye maisha haya bwana utampata wapi wakwako peke yako??
Unayempenda alishapendwa aatii!
Do onto Others what you Would Have them Do to you...
Live by the Sword, Die by the Sword.... ningeweza kuendelea mpaka kesho lakini the point ni kwamba angalia furaha zako zisiwe shida kwa wengine...
Lakini Love has no Boundaries kama kweli umempenda na yeye amekupenda maybe jamaa ataelewa and wont stand in the way of love, lakini sio kwamba wewe ndio u-initiate kuvunja mahusiano ya wenzako.., Let Love lead the way.., dont force things
wewe umenenaKm atakubali kupinduka na akahamia kwako,
Usije ukaona ajabu akipinduka kwa mwingine na kukuacha!!!
Jitahidi ila ukifanikiwa ukumbuke na wewe laweza kukutokea pia.